Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFYA: Sumu huathiri waume, watoto wa wanawake wanaotumia mikorogo

>Nuru Masoud, mkazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, amekuwa akijishughulisha na biashara za vipodozi vya asili, maarufu kama mkorogo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kuchapa watoto huathiri afya, uwezo wao wa akili

Je, mwanafunzi anachapwa viboko ili kumjenga kitabia au kumuathiri uwezo wake wa kumudu elimu anayopatiwa?

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vipigo huathiri wanawake kisaikolojia

LICHA ya kuwepo kwa sheria mbalimbali zinazowalinda wanawake lakini vitendo vya ukatili kwa wanawake vimekuwa vikiongezeka.Kuongezeka kwa vitendo hivyo kunachangiwa na kukosekana kwa elimu hasa katika baadhi ya maeneo ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utelekezaji wa familia huathiri wanawake kiuchumi

KUNA sababu mbalimbali zinazoweza kumuathiri mwanamke kiuchumi, mojawapo ni vipigo wanavyopata kutoka kwa wanaume. Hali hii inaweza kusababisha unyonge kwa wanawake kushindwa kuwajibika hasa kwa kuwa ndiye nguzo ya familia....

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake wanavyoteswa na waume zao Zanzibar

Wanawake wanachukuliwa kama ni watu wa kubaki katika ndoa kutii amri za mume hata kama amri hizo siyo za haki, heshima au zinavunja utu wa mwanadamu.

 

10 years ago

GPL

NAONGEA NA JIDE NA WANAWAKE WANAOPIGWA NA WAUME ZAO

Jumanne tena! Jumanne hii iko ndani ya msimu wa sikukuu, kuna Krismas na Mwaka Mpya! Lakini sikukuu ya kwanza ni Mwaka Mpya halafu inakuja Krismas, si ndiyo?Wiki hii nina mada nzito jamani! Ndiyo maana nimeipa uzito wa kichwa kisemacho; naongea na Jide na wanawake wanaopigwa na waume zao. Mada hii kwanza inataka utulivu kuielewa kwani mtu akisoma kwa juujuu anaweza kutoka kapa. Lakini naamini wasomaji wangu wote wana ufahamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamanda: Wanawake wawajibike kwa waume zao

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jafari Mohamed amewasihi wanawake walioolewa kuwajibika katika masuala ya unyumba kama maandiko ya dini yanavyoelekeza.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wasaidie waume wasife kwa wingi barabarani

WANAWAKE wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko kwa kuwatahadharisha wenzi wao kuwa makini wanapokuwa barabarani kutokana na takwimu kuonesha ajali nyingi za vifo zimekuwa zikihusisha zaidi wanaume.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji

Ustawi wa jamii yoyote, hata maendeleo hutegemea upatikajanaji wa maji safi na salama ambayo ni kichocheo muhimu kinachowapa fursa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kukuza uchumi.

 

10 years ago

Michuzi

NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY

1 Bw. Julius Mziray mkaguzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Regency ya jijini Dar es salaam. Baada ya kumkamata mtu mmoja anayetuhumiwa kutumia kadi ya bima ya afya yenye namba 02-HCTP1801 ambayo inamilikiwa na Bw. Terry J. Maona kinyume na utaratibu.
Mtu huyo alikamatwa jana katika hospitali hiyo wakati akitaka kufanya vipimo vya (CityScan), ndipo mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo alipogundua na kupiga simu makao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani