hoja ya haja: Wingi wa Askari wa Usalama Barabarani na Matumizi Sahihi ya Muda wa Kazi na Rasilimali Watu
Siku za karibuni nimekua nikipita Barabara ya Morogoro kuanzia Ubungo hadi Mlandizi. Huu ni umbali wa kama 50Km hivi. Ajabu katika umbali huu kuna polisi wa usalama barabarani wengi sana kiasi cha kufanya barabara hii ionekane kama ni ya kuogofya au kuna ukaguzi maalum au operation tokomeza madereva wabovu. Hata hivyo, sijasikia kabisa uwepo wa operation hii, labda kama inafanyika kiintelejensia zaidi na kwa mwaka mzima.
Katika kushangaa wingi wa askari hawa, nilimekua nikihesabu makundi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
Askari usalama barabarani afukuzwa kazi kwa Rushwa
Jeshi la Polisi limemfukuza kazi askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Tanga Coplo Anthon Temu mwenye namba F785 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema tukio hilo limetokea Novemba 9 mwaka huu majira ya saa 7:30 mchana katika barabara kuu ya Chalinze-Segera.
Akizungumza na wanahabri ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema kupitia mitandao ya kijamii askari huyo alionekana akipokea rushwa kutoka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rCwZPPl68YQ/UyAK1XQFWGI/AAAAAAAFTA4/SGEA_uZgjZQ/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yamzawadia askari wa kikosi cha Usalama Barabarani kwa kazi nzuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCwZPPl68YQ/UyAK1XQFWGI/AAAAAAAFTA4/SGEA_uZgjZQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Feb
Hoja ya Haja kuhusiana na matumizi ya majina ya asili ya kibantu
Katika kipindi cha wiki moja nimekuwa nikitazama tamthilia ya Kiswahili inayoitwa The team(wengi watakuwa wanaifahamu). Napenda kuwapongeza watayarishaji na waigizaji wa tamthilia hii kutokana na ufanisi waliouonyesha katika kuiandaa tamthilia.
Kama Mtanzania nimevutiwa na kujivunia kwa mengi,mojawapo ikiwa ni matumizi fasaha ya lugha ya Kiswahili,kitu ambacho ni vigumu kukiona katika filamu zingine au katika maisha ya kila siku.
Hoja yangu ni juu ya majina...
11 years ago
Michuzi27 Mar
Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama
11 years ago
Michuzi03 Aug
ASKARI FEKI MWINGINE WA USALAMA BARABARANI ANASWA DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-yFWajDERlyM/U9017_4ar3I/AAAAAAAAaWg/cGpf_YyckOc/s1600/IMG-20140802-WA0000.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-ZlPGH56YwQU/U9018kvRMqI/AAAAAAAAaWk/j1LxNbEyHvU/s1600/IMG-20140802-WA0001.jpg)
9 years ago
MichuziHoja ya haja: Kasi ya “HAPA NI KAZI TU†ni nzuri, ila itekelezwe kwa tahadhari kubwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNp6xmj2OMOPTZ3GLk-Tp2UUD8ccSYjodkob3RW3SaCfGDQj8XZM9typDgEozmNCOKkEHwChXGDjtjjk*MFvGSa0/2.jpg?width=650)
ASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA NA DALADALA SIKU YA JANA, MBAGALA DAR
11 years ago
GPLAIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU
11 years ago
Michuzi17 Jun
SUMATRA YAWATAKA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KUKAMATA MABASI YANAYOSIMAMA KUCHIMBA DAWA OVYO PORINI
..................................................... ASKARI wa usalama barabarani nchini wamepewa rungu la kuwakamata madereva wa mabasi ya abiria na magari mengine ambayo yatapatikana...