Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watembea kilometa 20 kusaka maji

KUTOKANA na ukosefu wa huduma ya maji kwenye Kitongoji cha Arpau, Kijiji cha Komolo Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, huwalazimu wananchi wa eneo hilo kutembea kilomita 20 kwenda na kurudi nyumbani kufuata maji mtoni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Watembea kilometa 15 kusaka tiba

WANANCHI wa Kata ya Mpuguso, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, wanatembea umbali wa kilometa 15 kufuata huduma ya afya kutokana na kata hiyo kutokuwa na kituo cha afya wala zahanati tangu...

 

10 years ago

Habarileo

Dar yahaha kusaka maji

WAKAZI wa maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam, wamekuwa wakihangaika kutafuta majisafi kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa. Wanawake na watoto wamekuwa wakionekana wakiwa na ndoo kuanzia asubuhi hadi jioni, wakisaka bidhaa hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji

Ustawi wa jamii yoyote, hata maendeleo hutegemea upatikajanaji wa maji safi na salama ambayo ni kichocheo muhimu kinachowapa fursa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kukuza uchumi.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watembea kwa miguu hatarini Uganda

Watembea kwa miguu jijini Kampala nchini Uganda wako hatarini kupata ajali kutokana na changamoto ya Barabara

 

10 years ago

BBCSwahili

Watembea kilomita 700 kuleta amani Kenya

Kundi la vijana wameanza safari ya kutembea zaidi ya kilomita 700 kuelekea mji wa Mandera katika mpaka baina ya Kenya na Somalia ilikuchochea amani.

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania watembea kifua mbele kwa tuzo ya Kikwete

TUZO ya uongozi bora aliyotunukiwa Rais Jakaya Kikwete jijini hapa Jumatano iliyopita na jarida moja la kimataifa la African Leadership imeelezwa kuwa imeliongezea nuru bara la Afrika na Tanzania kwa kutambua uongozi wake mahiri katika utawala na maendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete asafiri kilometa 143 kwa treni

RAIS Jakaya Kikwete juzi aliweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjamzito atembea kilometa mia moja kutafuta msaada

pregnant_african_woman-istock_000012169363small

Na Nathaniel Limu

MKULIMA mkazi wa kijiji cha Ighombwe wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Esther Jilala (16),amelazimika kutembea umbali wa kilometa zaidi ya mia moja kutafuta msaada baada ya kuchoka kunyanyaswa na kupigwa kila siku mume wake.

Esther ambaye kwa sasa ana mimba ya miezi mitatu,alitembea umbali huo kwa siku mbili mfululizo.

Imedaiwa siku moja kabla ya kufanya maamuzi magumu ya kutoroka,alipigwa vibaya na mume wake Michael Luhenga, kwa kumutuhumu kuwa aliachia ndama wanyonye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani