Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjamzito atembea kilometa mia moja kutafuta msaada

pregnant_african_woman-istock_000012169363small

Na Nathaniel Limu

MKULIMA mkazi wa kijiji cha Ighombwe wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Esther Jilala (16),amelazimika kutembea umbali wa kilometa zaidi ya mia moja kutafuta msaada baada ya kuchoka kunyanyaswa na kupigwa kila siku mume wake.

Esther ambaye kwa sasa ana mimba ya miezi mitatu,alitembea umbali huo kwa siku mbili mfululizo.

Imedaiwa siku moja kabla ya kufanya maamuzi magumu ya kutoroka,alipigwa vibaya na mume wake Michael Luhenga, kwa kumutuhumu kuwa aliachia ndama wanyonye...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mama mjamzito aogelea kutafuta hospitali

Mwanamke mmoja nchini India ameogelea kwenye mto uliokuwa umejaa maji ilhali akiwa na ujauzito wa miezi tisa.

 

10 years ago

GPL

NI UGAIDI ASILIMIA MIA MOJA

Stori: Mwandishi Wetu Dar na Jaed Kimaro, Bukombe
TUKIO la kutisha la kushambuliwa kwa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, ambapo askari wawili walipoteza maisha na silaha kadhaa kuporwa, limeelezwa kuwa kwa kiwango cha asilimia mia moja, jambo hilo ni ugaidi wa dhahiri. Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, kilichoshambuliwa kwa mabomu. Jumamosi iliyopita, majira ya saa sita  usiku, watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Funza zaidi ya mia moja wabainika puani

Funza zaidi ya mia moja wakutwa puani kwa mwanamume mmoja nchini Brasil.atibiwa na kupona .

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA MASHINDANO YA DANSI MIA MIA

Majaji wa shindano la Dansi 100% wakifuatilia kwa makini kutoka kushoto ni Super Nyamwela,Queen Doreen na mtangazaji wa EATV, Lotus Kyamba.…

 

10 years ago

Bongo5

Niko sawa tu — asema Collo kwenye picha akiwa na noti za kutisha za dola mia mia!

Rapper wa Kenya, Collo anaweza kuwa amepotea kwa kiasi kwenye mawimbi ya redio na TV licha ya kuwa na ngoma mpya za hapa na pale, lakini haimaanishi kuwa amepigika. Pengine anataka kudhihirisha hilo kwa mashabiki wake ndio maana ameamua kupost picha Instagram akiwa ameshika lundo la kutisha la noti za dola mia mia! “Sina ubaya […]

 

10 years ago

GPL

WASHINDI WA DANCE MIA MIA WATEMBELEA GLOBAL

Washindi wa dance mia mia mwaka 2014, kundi la Wakali Sisi wakiwa katika ofisi ya Global Publishers. W akifafanua jambo kwa wanahabari wa Global (hawapo pichani) kupitia Global.…

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA DANSI MIA MIA YAENDELEA

  Makundi mbalimbali yakiwa kwenye pozi. Kundi la Inter Crew toka Temeke wakionesha ufundi wao.…

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga mia mia, Simba ni shiida!

Dar/mikoani. Yanga imerejea kileleni mwa Ligi Kuu baada ya kuichapa  Kagera Sugar kwa mabao 2-1, huku Mgambo JKT ikiendeleza ubabe wake kwa Simba kwa kuichapa 2-0 kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA VIJANA CHADEMA NA VIJANA MIA MOJA KATA YA ORTURUMENTI WILAYA YA ARUMERU WAHAMIA CCM

 picha ikionyesha baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na CCM, wakila kiapo, katikati ni aliyekuwa Mwenyekiti  wa Vijana CHADEMA kata ya Orturumenti Thomasi Kivuyo.  Mwenyekiti wa vijana chadema kata ya Orturumenti akiwa anatoa mkono kwa katibu wa siasa uenezi Jonasi Kitoro mara baada ya kukabidhiwa kadi ya ccm

Na Woinde Shizza,Arusha


Jumla ya wananchi 100 wa kata ya Ortumunti  wilayani Arumeru  kutoka katika vyama mbalimbali vya upinzani  wamehamia chama cha Mapinduzi akiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani