Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL WAFUNGWA MBILI KWA MOJA KWA TABU SANA

Kikosi cha Global Publishers kikiwa uwanja wa Barafu Mburahati. ...Kikosi cha Kigoma all stars' Kigoma Utd' kikiwa uwanja.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAIFA STARS YAWAFUNGA WADOGO ZAO MBILI KWA MOJA

Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza dhidi ya vijana wa timu ya taifa wenye umri wa chini ya miaka 20 leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Kikosi cha vijana wa timu nya taifa wenye umri wa chini ya miaka 20.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la Etihad lachangisha Dirham Milioni moja kwa ajili ya “We Care Yemen” na shule mbili nchini Kenya

4 Nepal Team

 Dr Khawla Salem Al Saaedi, Mwakilishi wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Umoja wa Wanawake na aAya, akiwazawadia timu kutoka Nepal kwa kushinda michuano ya kimataifa ya mavazi.

6 football teams

Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya wachezaji wa soka.

5 Costume team

Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya washiriki wa michuano ya kimataifa ya mavazi.

1 Soccer team

Shirika la ndege likiwatunuku timu ya soka kutoka Serbia kama bingwa wa michuano ya kombe la dunia la mashirika ya ndege  upande wa soka.

7 Fusion Art Ballet

Abu Dhabi-based...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS YAKABIDHI MEZA MBILI KWA CHAMA CHA MAGAZETI MKOA WA DAR ES SALAAM‏

Afisa Tawala wa Global Publishers, Soud Kivea kulia akimkabidhi meza mbili za ofisini kwa makamu mwenyekiti wa wauza magazeti mkoa wa Dar es salaam  zilizotolewa na kampuni yake ya Global Publishers. Afisa Tawala wa Global Publishers, Soud Kivea kulia akimwangalia makamu mwenyekiti wa wauza magazeti mkoa wa Dar es salaam jinsi anavyo andika taharifa… ...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja

Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.

Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.

Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo  ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita,  na nchi za awali kabisa kulitumia  zao hili zinatajwa kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 11 Septemba, 2015 kuhusu vipindi vinavyorushwa moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi
mkuu.  Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...

 

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA:KUHESABIWA KWA KURA TANZANIA

Kura zinahesabiwa Tanzania baada ya uchaguzi kufanyika Jumapili kumchagua mrithi wa Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA: KUAPISHWA KWA MAGUFULI

Rais Mteule wa Tanzania John Pombe Magufuli anaapishwa leo kuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani