Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul

Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.

Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...

 

5 years ago

BBCSwahili

'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'

Martha Anne Bwore mwanaharakati anayepinga uavyaji mimba nchini Kenya azungumzia hofu na mahangaiko aliyoyapitia yeye na wasichana wengine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Mimba nyingi hutungwa Krismasi

Utathmini wa takwimu kuhusu watoto wanaozaliwa Uingereza umebaini mimba nyingi hutungwa wakati wa Krismasi kuliko wakati mwingine wowote ule.

 

10 years ago

GPL

WEMA SEPETU AJUTIA MIMBA YA KANUMBA

Mwanadada asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Stori: Mwandishi Wetu/Risasi
MWANADADA asiyeishiwa habari, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anadaiwa kujutia mimba yake aliyopachikwa na aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ wakati wa mapenzi yao. Chanzo makini kilicho karibu na Wema kilieleza kwamba,...

 

11 years ago

GPL

Have you seen the Michepuko TV Advert?! I swear ni kama vile Kibonde anaongea na wewe moja kwa moja! Check it out....

By the way...Michepuko are now on Twitter,Instagram and they have a Facebook Page all with the name Michepuko.... Visit them for a laugh...kweli Michepuko Sio Dili

 

9 years ago

Global Publishers

Madhara sita ya kutoa mimba

01Leo tuzungumzie madhara sita ya kutoa mimba na madhara yake kama tutakavyoona hapa leo.

UNAWEZA KUPOTEZA UHAI
Ukitoa mimba unaweza kupoteza maisha kutokana na ukweli kwamba mara nyingi ndani ya wiki moja baada ya kutoa mimba mwanamke anaweza kuvuja damu sana, au kupata madhara ya dawa za usingizi, mabonge ya damu kwenye mishipa ya damu na mimba iliyotunga nje ya uzazi.

WATOTO KULEMAA UBONGO
Utoaji wa mimba huaribu mlango wa mfuko wa uzazi kushindwa kushika vizuri na matokeo yake mwanamke...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO KUTOA MIMBA

Stori: Waandishi Wetu/Risasi Mchanganyiko
KITENDO cha mwimbaji nyota wa muziki wa Injili, Rose Muhando (pichani) kudaiwa kutoa mimba yenye umri wa miezi saba, endapo kitathibitishwa na mamlaka zinazohusika, kinaweza kusababisha kupewa adhabu ya kifungo cha miaka 7 jela, Risasi Jumatano lina mkanda kamili. Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili, Rose Muhando akiimba wakati akiwa mjamzito. Mwishoni mwa wiki iliyopita, ilidaiwa kuwa...

 

10 years ago

GPL

MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA

Andrew Carlos
DUNIA IMEKWISHA! Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amedai licha ya kutembea na wasanii wengi, aliwahi kupata ujauzito wa mkali wa Bongo Fleva, Ali Kiba lakini kwa bahati mbaya, ikatoka, Risasi Mchanganyiko lina ‘full details’. Akifunguka bila wasiwasi mbele ya kamera na masikio ya waandishi, msanii huyo anayetambulika mtaani na filamu za Gundu na Judgement Day, aliwataja wasanii...

 

10 years ago

GPL

VIDONGE VYA KUTOA MIMBA VYAZAGAA DAR

Na Waandishi wetu/Risasi
Hali inatisha! Vidonge vinavyodaiwa ni vya kutoa mimba vimezagaa kwenye maduka ya madawa baridi ‘famasi’ jijini Dar na kuuzwa kinyume cha sheria iliyowekwa na wahusika kwa kuwa hairuhusiwi kuuziwa dawa hizo pasipokuwa na kibali cha daktari. Wauzaji wa moja ya duka la dawa linalouza dawa za kutolea mimba. Kikosi chetu cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kiliingia kazini kuzisaka famasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani