NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 May
Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul
Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.
Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...
5 years ago
BBCSwahili20 May
'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Utafiti: Mimba nyingi hutungwa Krismasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5AohXeCm1YYio0FYwIkGUmHxxacD6ZMgp7ncQVx-ade6kP5Hm0Rmtpslp0SNpZpBLchmWZjcFDcE2vfCAj801Y7/WEMA1.png?width=650)
WEMA SEPETU AJUTIA MIMBA YA KANUMBA
11 years ago
GPL10 Feb
Have you seen the Michepuko TV Advert?! I swear ni kama vile Kibonde anaongea na wewe moja kwa moja! Check it out....
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Madhara sita ya kutoa mimba
Leo tuzungumzie madhara sita ya kutoa mimba na madhara yake kama tutakavyoona hapa leo.
UNAWEZA KUPOTEZA UHAI
Ukitoa mimba unaweza kupoteza maisha kutokana na ukweli kwamba mara nyingi ndani ya wiki moja baada ya kutoa mimba mwanamke anaweza kuvuja damu sana, au kupata madhara ya dawa za usingizi, mabonge ya damu kwenye mishipa ya damu na mimba iliyotunga nje ya uzazi.
WATOTO KULEMAA UBONGO
Utoaji wa mimba huaribu mlango wa mfuko wa uzazi kushindwa kushika vizuri na matokeo yake mwanamke...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7akC0ASO4alw7656hkFzO*TgaHs-ldAkOryY8rve1N72GDWS0qIUZ2mImyIYrR86hdzxyn9gPemy7wiTFY5C01W/k.jpg)
ROSE MUHANDO KUTOA MIMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ay9FUvKm5M-ghX5pA2A8ZgHU2pFjkxPDwX4zaKSR9rlcA2bi9n-dm4NsaW2RK12j*45ivEsTZPB5qFD-G0Yx3qU/kiba.gif?width=650)
MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8UCKSjPiOud5aGATNhqll3wagH2pD5GQMcbF3K8PhB1w8Lk8EiLQlYJAAvdW9AWtP1i7Iq9AybU5G*aMY*8TkZW/BACKJUMAMOSI.jpg)
VIDONGE VYA KUTOA MIMBA VYAZAGAA DAR