Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Mimba nyingi hutungwa Krismasi

Utathmini wa takwimu kuhusu watoto wanaozaliwa Uingereza umebaini mimba nyingi hutungwa wakati wa Krismasi kuliko wakati mwingine wowote ule.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utafiti: Jumuiya nyingi za wafanyakazi zimekufa

KUENDELEA kunyanyasika kwa wafanyakazi katika makampuni mbalimbali kumechangiwa na asilimia 60 ya Jumuiya za Wafanyakazi kutokuwa hai ingawa zipo  kwa asilimia 41.6 maeneo ya sehemu za kazi. Hayo yalibainika jijini...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul

Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.

Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Watoto wanaoangalia runinga mara nyingi wanaweza kuharibu ubongo

Kuangalia mara kwa mara televisheni kunaweza kubadilisha muundo wa ubongo wa mtoto na hivyo kumletea madhara, kulingana na utafiti mpya uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Tohoku kilichopo katika Jiji la Sendai nchini Japan

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 150 Duce wapata mimba — Utafiti

Wanafunzi 150 kati ya 1,000 waliojiunga na masomo katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (Duce) mwaka jana wamebainika kuwa na ujauzito waliopewa na wenzao chuoni hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani