Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Jumuiya nyingi za wafanyakazi zimekufa

KUENDELEA kunyanyasika kwa wafanyakazi katika makampuni mbalimbali kumechangiwa na asilimia 60 ya Jumuiya za Wafanyakazi kutokuwa hai ingawa zipo  kwa asilimia 41.6 maeneo ya sehemu za kazi. Hayo yalibainika jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Mimba nyingi hutungwa Krismasi

Utathmini wa takwimu kuhusu watoto wanaozaliwa Uingereza umebaini mimba nyingi hutungwa wakati wa Krismasi kuliko wakati mwingine wowote ule.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Watoto wanaoangalia runinga mara nyingi wanaweza kuharibu ubongo

Kuangalia mara kwa mara televisheni kunaweza kubadilisha muundo wa ubongo wa mtoto na hivyo kumletea madhara, kulingana na utafiti mpya uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Tohoku kilichopo katika Jiji la Sendai nchini Japan

 

10 years ago

Vijimambo

Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

Kumekuwa na tabia ya wanawake kutoa rushwa ya ngono makazini Kwa Research yangu Ndogo nimegunduaAsilimia 60 ya wanawake wanaopata hivyo vitu makazini ni kwa kutoa rushwa ya ngono30 ni kwa ajili wao wana watu wanaowajua10 wao wameingia kwa njia ya kawaidaHii imetokea sana hata humu ndani wapo wahanga mbalimbali ya wanawake mbalimbali walioingia kwenye hii disaster kwa pande zote mbiliWanaume nameWanawakeNilichogundua kuwa hii kitu haiepukiki kwani kwa mfumo wa maisha ulivyo tight halafu...

 

9 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA WAZEE WASTAAFU, WAKULIMA NA WAFANYAKAZI ZANZIBAR WATOA TAMKO JUU YA HALI ILIOPO VISIWAMI

Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazee wastaafu, Wakulima na Wafanyakazi  Zanzibar Mzee Ali Hassan Khamis akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hali ya nchi ilivyo sasa na kuwataka wananchi kusikiliza maelekezo yatakayotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Picha na Makame/Maelezo Zanzibar.NA RAMADHANI ALI /MAELEZO ZANZIBAR Jumuia ya Wazee wastaafu, Wakulima na Wafanyakazi  Zanzibar imewashauri wananchi  kuwa watulivu wakati huu na kusikiliza maelekezo yatakayotolewa na Tume...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 3

NIANZE makala yangu kwa kuwapa pole vijana wasomi wahitimu wa vyuo vikuu zaidi ya 10,000 waliojitokeza Juni 13, 2014, pale Uwanja wa Taifa kwa ajili ya usahili wa awali kuomba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 2

KUPITIA gazeti hili katika toleo namba 3456 la Mei 21, 2014 niliandika makala iliyokuwa na maudhui yenye kudadisi utendaji wa viongozi wetu kana kwamba hawajifunzi chochote kutoka katika mataifa yaliyoendelea....

 

11 years ago

Michuzi

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.   Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...

 

9 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA QAMER YA CANADA PAMOJA NA JUMUIYA YA TAQWA TANZANIA YATOA MISAADA PEMBE

VITANDA mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.MABOKSI mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya wanafunzi wa skuli.WANANCHI mbali mbali...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya Qamer ya Canada pamoja na Jumuiya ya Taqwa Tanzania yatoa misaada Pemba

pembaVitanda mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.(Picha zote na Hanifa Salum, PEMBA.)

pembawMaboksi mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani