Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Watoto wanaoangalia runinga mara nyingi wanaweza kuharibu ubongo

Kuangalia mara kwa mara televisheni kunaweza kubadilisha muundo wa ubongo wa mtoto na hivyo kumletea madhara, kulingana na utafiti mpya uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Tohoku kilichopo katika Jiji la Sendai nchini Japan

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wezi na wanyanyasaji huwa na ubongo mdogo

Watu ambao huiba, kunyanyasa watu na kusema uwongo katika maisha yao yote wanaweza kuwa na ubongo mdogo, watafiti wanasema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utafiti: Jumuiya nyingi za wafanyakazi zimekufa

KUENDELEA kunyanyasika kwa wafanyakazi katika makampuni mbalimbali kumechangiwa na asilimia 60 ya Jumuiya za Wafanyakazi kutokuwa hai ingawa zipo  kwa asilimia 41.6 maeneo ya sehemu za kazi. Hayo yalibainika jijini...

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Mimba nyingi hutungwa Krismasi

Utathmini wa takwimu kuhusu watoto wanaozaliwa Uingereza umebaini mimba nyingi hutungwa wakati wa Krismasi kuliko wakati mwingine wowote ule.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume nao wanaweza kunyonyesha watoto wao

Unaingia katika nyumba ya rafiki yako Jumanne Mwesiga na macho yako yanakutana ana kwa ana na Mwesiga akimnyonyesha mtoto wake mchanga mwenye umri wa miezi miwili.

 

9 years ago

Global Publishers

Matatizo yanayowafanya watoto waugue mara kwa mara

un-child-rightsWatoto wanaopatwa na matatizo ya kuugua mara kwa mara ni wale walio katika umri wa chini ya miaka mitano. Watoto hawa huumwa na wanapogundulika kuwa ni wagonjwa tayari hali inakuwa mbaya.

Hii ni kwa kuwa watoto hawa hawana uwezo wa kujieleza mara tu wanapopata dalili za awali za ugonjwa. Pamoja na yote, magonjwa au maradhi ya watoto huanzia mbali sana kama tutakavyokuja kuona.

Inawezekana kabisa mtoto asiugue na akaishi vizuri kuanzia anapozaliwa hadi anavuka umri wa miaka mitano. Matatizo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi..

jb“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya umpendae awe na furaha…piakina dada wanapo achana na wapenzi wao huwa wanasumbuliwa na maswali ambayo sio...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanaopokezana vijiti katika mbio mara nyingi ndiyo washindao

Leo napenda kukopa maneno ya msanii, mwimbaji Mrisho Mpoto, maarufu kwa jina la Mjomba: “Nyosha kidole…, sina nia mbaya ya kuwarudisha darasani.” Lakini kwa kuwa akili ya binadamu ina tabia ya kukumbuka ya karibuni na kuyasahau ya zamani, nimeona leo niwakumbushe historia kidogo, nayo ni ile ya Chama cha Wananchi- CUF.

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce awa mwanamke aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mara nyingi zaidi

Beyonce amekuwa mwanamke kwenye muziki aliyewahi kutajwa kuwania tuzo nyingi zaidi za Grammy. Kabla ya majina mapya yaliyotajwa Ijumaa, Queen Bey alikuwa analingana na Dolly Parton kwa kuwa na nomination 46 za Grammy. Hata hivyo baada ya album yake Beyoncé kutajwa kuwania ‘Best Urban Contemporary Album’, Beyonce amefikisha nomination 47. Beyonce amewahi kushinda tuzo 17 […]

 

10 years ago

Mwananchi

Yataka moyo kufundisha watoto wenye mtindio wa ubongo

Umekwenda kumtembelea ndugu yako mwalimu anayefundisha shule fulani bila kufahamu anawafundisha wanafunzi wa aina gani. Unafika shuleni hapo na kumkuta anawabembeleza wanafunzi kuingia darasani, huku wengine wakipigana na wengine wakifanya fujo za kila aina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani