Wanaopokezana vijiti katika mbio mara nyingi ndiyo washindao
Leo napenda kukopa maneno ya msanii, mwimbaji Mrisho Mpoto, maarufu kwa jina la Mjomba: “Nyosha kidole…, sina nia mbaya ya kuwarudisha darasani.†Lakini kwa kuwa akili ya binadamu ina tabia ya kukumbuka ya karibuni na kuyasahau ya zamani, nimeona leo niwakumbushe historia kidogo, nayo ni ile ya Chama cha Wananchi- CUF.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi..
“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya umpendae awe na furaha…piakina dada wanapo achana na wapenzi wao huwa wanasumbuliwa na maswali ambayo sio...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Utafiti: Watoto wanaoangalia runinga mara nyingi wanaweza kuharibu ubongo
10 years ago
Bongo506 Dec
Beyonce awa mwanamke aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mara nyingi zaidi
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Hii ndiyo listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili tangu mwaka 2006
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Katika soka ili kupata kilicho bora unahitaji kufanya usajili licha ya kuwapo kwa makocha wachache ambao wamekuwa hawasajili sana na badili yake wamekuwa wakitumia wachezaji vijana ambao wanakuwa wakitokea katika vituo vya kukuzia vipaji [akademi] za klabu husika, kuchukua wachezaji ambao wapo huru au kununua wachezaji kwa gharama nafuu.
Modewjiblog imekuandalia listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili kwa kipindi miaka 10 iliyopita kwa...
5 years ago
MichuziWARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
HII NDIYO YANGA YANYAKUWA UBIGWA MARA YA 24

Shabiki wa Yanga akifurahia UBIGWA baada ya kuibwaga polisi Moro bao 4 kwa 1.



10 years ago
Vijimambo
Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni...
10 years ago
Vijimambo