Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaopokezana vijiti katika mbio mara nyingi ndiyo washindao

Leo napenda kukopa maneno ya msanii, mwimbaji Mrisho Mpoto, maarufu kwa jina la Mjomba: “Nyosha kidole…, sina nia mbaya ya kuwarudisha darasani.” Lakini kwa kuwa akili ya binadamu ina tabia ya kukumbuka ya karibuni na kuyasahau ya zamani, nimeona leo niwakumbushe historia kidogo, nayo ni ile ya Chama cha Wananchi- CUF.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi..

jb“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya umpendae awe na furaha…piakina dada wanapo achana na wapenzi wao huwa wanasumbuliwa na maswali ambayo sio...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Watoto wanaoangalia runinga mara nyingi wanaweza kuharibu ubongo

Kuangalia mara kwa mara televisheni kunaweza kubadilisha muundo wa ubongo wa mtoto na hivyo kumletea madhara, kulingana na utafiti mpya uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Tohoku kilichopo katika Jiji la Sendai nchini Japan

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce awa mwanamke aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mara nyingi zaidi

Beyonce amekuwa mwanamke kwenye muziki aliyewahi kutajwa kuwania tuzo nyingi zaidi za Grammy. Kabla ya majina mapya yaliyotajwa Ijumaa, Queen Bey alikuwa analingana na Dolly Parton kwa kuwa na nomination 46 za Grammy. Hata hivyo baada ya album yake Beyoncé kutajwa kuwania ‘Best Urban Contemporary Album’, Beyonce amefikisha nomination 47. Beyonce amewahi kushinda tuzo 17 […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili tangu mwaka 2006

mourinhofivenormal-600x300

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Katika soka ili kupata kilicho bora unahitaji kufanya usajili licha ya kuwapo kwa makocha wachache ambao wamekuwa hawasajili sana na badili yake wamekuwa wakitumia wachezaji vijana ambao wanakuwa wakitokea katika vituo vya kukuzia vipaji [akademi] za klabu husika, kuchukua wachezaji ambao wapo huru au kununua wachezaji kwa gharama nafuu.

Modewjiblog imekuandalia listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili kwa kipindi miaka 10 iliyopita kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA

Na. Erick Mwanakulya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewataka Waratibu wote wa TARURA nchini kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika barabara na madaraja ili kubaini maeneo yanayohitaji ukarabati na kuyafanyia kazi kabla ya kuleta madhara. Mhandisi Seff ameyasema hayo, alipokutana na Waratibu wa TARURA wa Mikoa jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za TARURA Makao Makuu zilizopo Mtumba, ikiwa ni sehemu ya kikao kazi...

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO YANGA YANYAKUWA UBIGWA MARA YA 24


Shabiki wa Yanga akifurahia UBIGWA baada ya kuibwaga polisi Moro bao 4 kwa 1.Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada yaTabwe kuipatia timu yake bao la katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshida 4-1. (Picha na FrancisDande)Mashabikiwa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Amis Tambwe.MshambuliajiWa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi Moro, Hassan Mganga katika mchezowa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara...

 

10 years ago

Vijimambo

Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani