Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 3
NIANZE makala yangu kwa kuwapa pole vijana wasomi wahitimu wa vyuo vikuu zaidi ya 10,000 waliojitokeza Juni 13, 2014, pale Uwanja wa Taifa kwa ajili ya usahili wa awali kuomba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 2
KUPITIA gazeti hili katika toleo namba 3456 la Mei 21, 2014 niliandika makala iliyokuwa na maudhui yenye kudadisi utendaji wa viongozi wetu kana kwamba hawajifunzi chochote kutoka katika mataifa yaliyoendelea....
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao
TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Viongozi wetu watibiwe nchini
KWA muda mrefu sasa, baada ya kila muda mfupi, tumesikia kiongozi mmoja wa nchi ya Kiafrika baada ya mwengine, amekwenda nje ya nchi yake kuchunguzwa afya au kupata matibabu. Wengi...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Viongozi wetu walipoihepa historia
LILIKUWA tukio la kihistorialakini viongozi wa Tanzania waliamua kulipiga pande.
Ahmed Rajab
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Jambo la hatari viongozi wetu wanachekelea!
Rais wangu Padri wetu wa roho alituambia, “Huwezi kuwa mjanja tangu asubuhi mpaka jioni. Kuna wakati utateleza tu”. Wenye hofu ya Mungu wanasema, “Mungu hamfichi mnafiki”. Ziko kelele kutoka kila...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Viongozi wa uamsho walalamikia afya zao
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Viongozi ACT sasa kutangaza mali zao.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto--30march2015.jpg)
Akihutubia mamia ya wananchi wakati wa uzinduzi wa chama hicho, Zitto alianza kwa kuweka hadharani mali zake mbele ya mwanasheria wa chama na kudai kwa undani zitawekwa kwenye mtandao ili kila mwananchi ajisomee.
Kabla ya kusaini fomu hiyo, Zitto...
10 years ago
Habarileo30 Nov
Shein akumbusha viongozi kuchunga kauli zao
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria na si kwa matakwa binafsi ya baadhi ya wanasiasa.