Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa uamsho walalamikia afya zao

Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumika), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake wameendelea kulalamika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa hali zao kiafya ni mbaya na hakuna matibabu wanayopata.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Viongozi Uamsho wadaiwa kuingiza magaidi

VIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, wanakabiliwa na mashitaka ya kuingiza wageni nchini, ili washiriki katika vitendo vya kigaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Uamsho waachiwa huru Z’bar

Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), wameachiwa kwa dhamana baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Fatma Hamid Mahmoud kupunguza masharti ya dhamana kutoka fedha taslimu Sh25 milioni kila mshtakiwa hadi kuwa dhamana ya maandishi kwa kiwango hicho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana waliofanyia kazi tume walalamikia hela zao

Vijana waliopewa kazi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania kusimamia uchaguzi katika kata ya Igoma, Mwanza wamelalamikia kutolipwa hela zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Uamsho wadai polisi waliwafanyia ukatili

Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) wameilalamikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa polisi “walitumia ushenzi na ukatili” wakati wa kuwahoji.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana wahamasishwa kutembelea vituo vya afya kujua afya zao

Msanii wa Muziki wa Taarabu na mpiga Gitaa maarufu nchini Bw. Thabit Abdul akizungumza na vijana wa jijini la Dar es Salaam wakati wa hafla ya Jamvi la Vijana ambalo uendeshwa maramoja kila mwezi na Kituo cha Vijana UMATI kilichopo wilayani Temeke alipokuwa mgeni rasmi katika jamvi hilo jana jijini Dar es Salaam. Jamvi hilo lilikuwa na ujumbe mahususi kwa vijana uliolenga kuwa hamasisha kufika katika vituo vya afya kwa ajili ya kuchunguza afya zao na kupata matibabu. Mratibu wa Kituo cha...

 

11 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA NBC WAPIMA AFYA ZAO KUADHIMISHA WIKI YA AFYA

Meneja Uwekezaji katika Jamii na Udhamini wa Benki ya NBC, Rukia Mtingwa akifanyiwa uchunguzi wa afya ya kinywa na Dk. Asnath Katoto wa Metropolitan Health Insurance, wakati wa maadhimisho ya wiki ya Afya ya benki hiyo ambayo wafanyakazi wa benki hiyo walipimwa vipimo mbalimbali ili kujua hali za afya zao na kupata ushauri. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya NBC, Leah Yusuf Mndolwa (kushoto) akitolewa damu ili kupimwa afya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi. Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo.

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi. Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo.

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, likitoa huduma.

Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, likitoa huduma.

Mbeya Vijijini 

BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya...

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini walalamikia vitendo vya rushwa Kasulu

VIONGOZI wa dini katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma wamewalalamikia baadhi ya watendaji wa Serikali wilayani hapo, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuwa wamekithiri kwa vitendo vya rushwa, hali inayotishia haki ya wananchi wa wilaya hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao

Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma. Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma. Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani