Viongozi wa uamsho walalamikia afya zao
Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumika), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake wameendelea kulalamika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa hali zao kiafya ni mbaya na hakuna matibabu wanayopata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Aug
Viongozi Uamsho wadaiwa kuingiza magaidi
VIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, wanakabiliwa na mashitaka ya kuingiza wageni nchini, ili washiriki katika vitendo vya kigaidi.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Viongozi wa Uamsho waachiwa huru Z’bar
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Vijana waliofanyia kazi tume walalamikia hela zao
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Viongozi wa Uamsho wadai polisi waliwafanyia ukatili
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmsfcglWscM/VCaN0ItavPI/AAAAAAAGmIM/oMIhp_CQbVw/s72-c/UM1a.jpg)
Vijana wahamasishwa kutembelea vituo vya afya kujua afya zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmsfcglWscM/VCaN0ItavPI/AAAAAAAGmIM/oMIhp_CQbVw/s1600/UM1a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-arv2NlHLATk/VCaN0PaKCjI/AAAAAAAGmIU/BXUBvF92IiE/s1600/UM1b.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94vsbAPz0Xs/U1309TD_WTI/AAAAAAAFdlk/hr0BxXkSE2U/s72-c/photo1.jpg)
WAFANYAKAZI WA NBC WAPIMA AFYA ZAO KUADHIMISHA WIKI YA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-94vsbAPz0Xs/U1309TD_WTI/AAAAAAAFdlk/hr0BxXkSE2U/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0GIhTKqvQw/U130_OAgdRI/AAAAAAAFdlw/u5dly99CgZQ/s1600/photo2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 May
Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe
Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi. Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo.
Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi.
Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, likitoa huduma.
Mbeya Vijijini
BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Viongozi wa dini walalamikia vitendo vya rushwa Kasulu
VIONGOZI wa dini katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma wamewalalamikia baadhi ya watendaji wa Serikali wilayani hapo, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuwa wamekithiri kwa vitendo vya rushwa, hali inayotishia haki ya wananchi wa wilaya hiyo.
10 years ago
Michuzi29 May
Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao
![Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00042.jpg)
![Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0011.jpg)