Viongozi wa Uamsho waachiwa huru Z’bar
Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), wameachiwa kwa dhamana baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Fatma Hamid Mahmoud kupunguza masharti ya dhamana kutoka fedha taslimu Sh25 milioni kila mshtakiwa hadi kuwa dhamana ya maandishi kwa kiwango hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Vigogo Ilala waachiwa huru
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imewaachia huru vigogo wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Lipumba na wenzake waachiwa huru
11 years ago
BBCSwahili23 Dec
Pussy Riot waachiwa huru
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Watuhumiwa wa EPA waachiwa huru
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wafungwa wa Guantanamo waachiwa huru
11 years ago
Habarileo24 Apr
Vigogo Suma JKT waachiwa huru
VIGOGO saba wa Shirika la Uchumi la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Washukiwa wa Boko Haram waachiwa huru
9 years ago
Habarileo03 Sep
Mateka wa Tanzania DRC waachiwa huru
WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi.
10 years ago
Habarileo02 Sep
Wawili waachiwa huru kesi ya NMB
WASHITAKIWA wawili katika kesi ya mauaji na wizi wa Sh milioni 150 za benki ya NMB, wameachiwa huru na wengine 14 wamepatikana na kesi ya kujibu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.