Vigogo Suma JKT waachiwa huru
VIGOGO saba wa Shirika la Uchumi la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, wameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Vigogo Suma JKT huru
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Vigogo Ilala waachiwa huru
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imewaachia huru vigogo wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka...
11 years ago
Habarileo04 Feb
Hatima ya vigogo SUMA JKT kesho
HATIMA ya vigogo wa Shirika la Uchumi la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) itajulikana kesho wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, itakapotoa uamuzi kama wana kesi ya kujibu au la. Endapo washitakiwa watapatikana na kesi ya kujibu watatakiwa kupanda kizimbani kujitetea na kama hawana kesi ya kujibu wataachiwa huru.
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kesi ya vigogo Suma JKT yanguruma
MEJA Jenerali, Dk Adam Mwamulange ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT), lilipewa jukumu la kununua vifaa vya Kampuni ya Takopa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Msata hadi Bagamoyo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Vigogo Suma JKT waigalagaza serikali
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemwachiria huru Mkurugenzi wa Shirika la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT), Kanali Ayoub Mwakang’ata na maofisa wenzake sita waliokuwa...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
‘Vigogo wa Suma-JKT wana kesi ya kujibu’
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Lipumba na wenzake waachiwa huru
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wafungwa wa Guantanamo waachiwa huru
11 years ago
BBCSwahili23 Dec
Pussy Riot waachiwa huru