Mateka wa Tanzania DRC waachiwa huru
WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru
9 years ago
MichuziMASHEHE WALIOTEKWA NCHINI DRC WAACHIWA HURU
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Masheikh wa Tanzania waliotekwa DRC waachiwa
Masheikh sita wa Tanzania waliotekwa nyara tangu Agosti 13 katika Jimbo la Kivu ya Mashariki, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), wameachiwa huru na Serikali inafanya mpango wa kuwarejesha nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSJzmt0fT9mEGM2CV-DKtxRUsqj5EHVqym2dvMkzGd2db5O-9n6XDYHAabUzb6t-jie5pWm5rPSUO5zzUYk2HO9/130814210706cameroonpresidentpaulbiyastorytop.jpg)
MATEKA 27 WAACHIWA NA BOKO HARAMU
Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya. Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya leo amesema mateka 27 wakiwemo raia 10 wa China na mke wa naibu waziri mkuu wa nchi hiyo wameachiwa na Kundi la Boko Haram. (CREDIT: BBC SWAHILI)
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wafungwa wa Guantanamo waachiwa huru
Marekani.Watu watano waliokuwa wanashikiliwa kwenye Gereza la Guantanamo Bay kwa zaidi ya miaka 13, wameachiwa huru na wamepelekwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Watuhumiwa wa EPA waachiwa huru
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru washtakiwa watano akiwamo Kada wa CCM, Rajabu Maranda baada ya kuwaona hawana hatia katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili likiwamo la kujipatia Sh 5.9 bilioni kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) .
11 years ago
BBCSwahili23 Dec
Pussy Riot waachiwa huru
Wanamuziki wote wa kundi la muziki wa Punk la Pussy Riot la nchini Russia wameachiliwa huru kutoka gerezani .
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Vigogo Ilala waachiwa huru
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imewaachia huru vigogo wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Lipumba na wenzake waachiwa huru
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF na wafuasi 30.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania