Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mateka wa Tanzania DRC waachiwa huru

WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Mashehe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC waachiwa huru

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Tanzania waliotekwa nchini Congo DRC. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar, Balozi Silima Haji Kombo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (kulia) wakimsikiliza Balozi Mulamula wakati akizungumza na Waandishi wa...

 

9 years ago

Michuzi

MASHEHE WALIOTEKWA NCHINI DRC WAACHIWA HURU

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kuachiwa huru kwa Mashekhe waliotekwa nchini DRC. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar, Balozi Silima Haji Kombo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (kulia) wakimsikiliza Balozi Mulamula wakati akizungumza na Waandishi wa Habari. 

Mkutano...

 

9 years ago

Mwananchi

Masheikh wa Tanzania waliotekwa DRC waachiwa

Masheikh sita wa Tanzania waliotekwa nyara tangu Agosti 13 katika Jimbo la Kivu ya Mashariki, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), wameachiwa huru na Serikali inafanya mpango wa kuwarejesha nchini.

 

10 years ago

GPL

MATEKA 27 WAACHIWA NA BOKO HARAMU

Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya. Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya leo amesema mateka 27 wakiwemo raia 10 wa China na mke wa naibu waziri mkuu wa nchi hiyo wameachiwa na Kundi la Boko Haram. (CREDIT: BBC SWAHILI)

 

9 years ago

Mwananchi

Wafungwa wa Guantanamo waachiwa huru

Marekani.Watu watano waliokuwa wanashikiliwa kwenye Gereza la Guantanamo Bay kwa zaidi ya miaka 13, wameachiwa huru na wamepelekwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

 

9 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa EPA waachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru washtakiwa watano akiwamo Kada wa CCM, Rajabu Maranda baada ya kuwaona hawana hatia katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili likiwamo la kujipatia Sh 5.9 bilioni kutoka  Benki Kuu ya Tanzania (BoT) .

 

11 years ago

BBCSwahili

Pussy Riot waachiwa huru

Wanamuziki wote wa kundi la muziki wa Punk la Pussy Riot la nchini Russia wameachiliwa huru kutoka gerezani .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo Ilala waachiwa huru

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imewaachia huru vigogo wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka...

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba na wenzake waachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa  Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi  CUF na wafuasi 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani