Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watuhumiwa wa EPA waachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru washtakiwa watano akiwamo Kada wa CCM, Rajabu Maranda baada ya kuwaona hawana hatia katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili likiwamo la kujipatia Sh 5.9 bilioni kutoka  Benki Kuu ya Tanzania (BoT) .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kisutu wawaachia huru watuhumiwa wa EPA

Rajabu MarandaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru Kada wa CCM Rajabu Maranda na wenzake waliokuwa wanakabiliwa na kesi wizi wa Sh milioni 207 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kujipatia mil. 128 kwa udanganyifu waachiwa huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watu wawili waliokuwa wakikabiliwa na kosa la kujipatia sh milioni 128.3 kwa njia ya udanganyifu pamoja na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa simu....

 

10 years ago

Habarileo

Waliofungwa kesi ya EPA waachiwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mume na mke, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi sita jela kwa sababu ya wizi wa Sh bilioni 1.1 katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

9 years ago

Mwananchi

Wafungwa wa Guantanamo waachiwa huru

Marekani.Watu watano waliokuwa wanashikiliwa kwenye Gereza la Guantanamo Bay kwa zaidi ya miaka 13, wameachiwa huru na wamepelekwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pussy Riot waachiwa huru

Wanamuziki wote wa kundi la muziki wa Punk la Pussy Riot la nchini Russia wameachiliwa huru kutoka gerezani .

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba na wenzake waachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alikuwa  Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi  CUF na wafuasi 30.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo Ilala waachiwa huru

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imewaachia huru vigogo wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa Boko Haram waachiwa huru

Zaidi ya watu 180 waliozuiwa kwa kushukiwa kuwa wafuasi wa kundi la Boko Haram Nigeria wameachiwa huru na jeshi nchini

 

9 years ago

Habarileo

Mateka wa Tanzania DRC waachiwa huru

WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani