Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa Uamsho wadai polisi waliwafanyia ukatili

Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) wameilalamikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa polisi “walitumia ushenzi na ukatili” wakati wa kuwahoji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Viongozi Uamsho wadaiwa kuingiza magaidi

VIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, wanakabiliwa na mashitaka ya kuingiza wageni nchini, ili washiriki katika vitendo vya kigaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Uamsho waachiwa huru Z’bar

Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), wameachiwa kwa dhamana baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Fatma Hamid Mahmoud kupunguza masharti ya dhamana kutoka fedha taslimu Sh25 milioni kila mshtakiwa hadi kuwa dhamana ya maandishi kwa kiwango hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa uamsho walalamikia afya zao

Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumika), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake wameendelea kulalamika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa hali zao kiafya ni mbaya na hakuna matibabu wanayopata.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadai wanachunguza mauaji

Polisi Mkoa wa Morogoro imedaiwa inafanya uchunguzi kuona kama kulikuwa na sababu ya kutumia nguvu kubwa hata kusababisha vifo vya watu watatu, ambao ni wakulima wanaodaiwa kuuawa na askari Kijiji cha Igawa Malinyi, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wadai kuhangaishwa na polisi Eastleigh

Wakazi wengi ambao ni wasomali wanasema kuwa polisi wanawachapa na kuwakamata kiholela huku operesheni hiyo ya usalama ikiendelea kwa siku ya tatu.

 

9 years ago

Michuzi

TATIZO LA MAJI KILOLO NA ISMANI LAISUMBUA SERIKALI WADAI KUTOKUTHAMINIWA NA VIONGOZI

WANANCHI wa vijiji vya Ilole, kitumbuka, Ilambilole, Ikengeza, Chamdindi  na vingine vilivyopo Katika wilaya ya Kilolo na Ismani mkoani Iringa wailalamikia serikali kwa kushindwa kutatua kero ya maji iliyodumu kwa muda mrefu Katika maeneo hayo.
Wakizungumza kwa huzuni mbele ya mkuu wa mkoa wa Iringa aliyefanya ziara ya kugagua miradi ya maji Katika wilaya hizo Mh Amina Masenza wananchi hao walisema kumekuwa na ubabaishaji wa kisiasa juu ya namna ya kupelekewa maji jambo ambalo linawafanya...

 

10 years ago

GPL

AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa UKAWA Lyamgungwe wadai kuvutiwa na utendaji wa Mbunge Mgimwa Kalenga wajiunga CCM

IMG_3649

Mbunge  wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kulia akipokea kadi ya Chadema  kutoka kwa mmoja kati ya  viongozi wa Chadema   kata ya Lyamgungwe  aliyehamia CCM.

Na MatukiodaimaBlog

VIONGOZI  watatu  wa vyama  vinavyounda katiba ya  wananchi (UKAWA) kata ya Lyamgungwe  jimbo la kalenga  wamempongeza mbunge wa  jimbo la hilo Godfrey Mgimwa   kwa  kutekeleza ahadi  mbali mbali  zilizoachwa na marehemu mbunge aliyepita Dr  Wiliam Mgimwa kwa  muda mfupi na kuwa katika  kuonyesha  umoja  wao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wawe vinara wa kupinga ukatili

p>DESEMBA 10, tutaungana na jumuiya ya kimataifa kuhitimisha siku 16 za vuguvugu la kupinga ukatili wa kijinsia duniani. Tanzania na mataifa mbalimbali yamekuwa kwenye mapambano haya katika kipindi hiki cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani