Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wawe vinara wa kupinga ukatili

p>DESEMBA 10, tutaungana na jumuiya ya kimataifa kuhitimisha siku 16 za vuguvugu la kupinga ukatili wa kijinsia duniani. Tanzania na mataifa mbalimbali yamekuwa kwenye mapambano haya katika kipindi hiki cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbeya, Rukwa vinara wa vitendo vya ukatili, ubakaji

Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania (Tawla) kimeutaja Mkoa wa Mbeya kuwa unaongoza kwa ukatili wa kijinsia kati ya mikoa sita iliyofanyiwa utafiti unaohusu tatizo hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wawe mfano wa kuigwa

WAUMINI wa Kikristo Tanzania jana wameungana na wenzao duniani kuadhimisha Sikukuu ya Noeli ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwokozi wao Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Sherehe hizo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAS kuandamani kupinga ukatili

CHAMA cha Albino Tanzania (TAS), Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (Shivyawata) wameandaa maandamano ya amani kulaani mauaji ya watu...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’

>Jamii imetakiwa kufanya jitihada za kutosha kuhakikisha vitendo vya ukatili wa kijinsia vinakomeshwa badala ya kuwaachia jukumu hilo wanasiasa pekee.

 

10 years ago

Vijimambo

Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP

Maandamano ya washiriki wa hafla ya Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP. Maandamano ya washiriki wa hafla ya Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP.Msanii Christian Bella akiwatumbuiza washiriki katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yameandaliwa na TGNP Mtandao. Msanii Christian Bella akiwatumbuiza washiriki katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yameandaliwa na TGNP MtandaoMgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi.  Mary Massay akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili. Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa eneo la kula kiapo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

PWMO yajikita kupinga ukatili wa kijinsia

WANAHABARI wanawake mkoani Pwani wamezindua chao kinachofahamika kwa jina la PWMO. Uzinduzi huo ulikuwa na kaulimbiu ya kupinga ukatili wa kijinsia unaofanywa katika maeneo mbalimbali  ndani na nje ya mkoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni kupinga ukatili wa kijinsia yaiva

Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (Wildaf) limeandaa kampeni ya siku 16 kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siku 16 kupinga ukatili kuanza kesho

ASILIMIA 92 ya wanawake nchini wametaka mila na utamaduni unaolazimisha mwanamke akeketwe ukomeshwe kwa kuwa ni ukatili wa kijinsia. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mratibu wa...

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA VIDEO KUPINGA UKATILI ZIDI YA WANAWAKE.

Khadija Kopa katikati akiimba na kunengua wimbo wa Mwanamke Mambo. Mwimbaji Hassan bin Ally akionesha umahiri wake wa kunengua. Mke wa Mzee Yusuf, Leila Rashid akitunza.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani