Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PWMO yajikita kupinga ukatili wa kijinsia

WANAHABARI wanawake mkoani Pwani wamezindua chao kinachofahamika kwa jina la PWMO. Uzinduzi huo ulikuwa na kaulimbiu ya kupinga ukatili wa kijinsia unaofanywa katika maeneo mbalimbali  ndani na nje ya mkoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’

>Jamii imetakiwa kufanya jitihada za kutosha kuhakikisha vitendo vya ukatili wa kijinsia vinakomeshwa badala ya kuwaachia jukumu hilo wanasiasa pekee.

 

10 years ago

Vijimambo

Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP

Maandamano ya washiriki wa hafla ya Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP. Maandamano ya washiriki wa hafla ya Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP.Msanii Christian Bella akiwatumbuiza washiriki katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yameandaliwa na TGNP Mtandao. Msanii Christian Bella akiwatumbuiza washiriki katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yameandaliwa na TGNP MtandaoMgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi.  Mary Massay akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili. Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa eneo la kula kiapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni kupinga ukatili wa kijinsia yaiva

Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (Wildaf) limeandaa kampeni ya siku 16 kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia.

 

10 years ago

Dewji Blog

TGNP yafanya Tamasha kupinga Ukatili wa Kijinsia

v

Kaimu Mkuu wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi.Lilian Liundi akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari.

Na Mwandishi wetu

Tamasha  la kupinga  ukatili wa kijinsia lililojulikana kama siku ya rangi ya chungwa lilifanyika jana jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike.

Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu Mkurugenzi wa  TGNP Liliani Liundi alisema, Tanzania ilipewa jina la kisiwa cha amani lakini  jina  hili haliwezi kuwa la kweli ikiwa kuna...

 

9 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA WANAHARAKATI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Bendi ya Jeshi la Polisi wakiongoza maandamano ya wanaharakati.  Wanaharakati kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa na mabango yaokwenye maandamano yaliyoanzia Uzuri Sinza na kuishia katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam leo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

KANDA YA KASKAZINI WAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Wanaharakati kutoka shirika la Kwieco la mkoani Kilimanjaro wakiwa katika maandalizi ya maadhimisho ya siku 16 za kupingaukatili wa kijinsia.Maandamano ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yakipita katika mitaa mbalimbali ya mji wa Moshi.Mkurugenzui wa shirika la KWIECO ,Elizabeth Minde (mwenye miwani myeusi) akiwa katika maandamano hayo.Brass Band ya Chuo cha Polisi ikiongoza maandamano ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa kanda ya kaskazini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kanda ya Kaskazini wazindua siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya Kaskazini na Meneja Miradi wa Shirika lisilo la kiserikali la NAFGEM,Honorata Nasuwa akizungumza na wanahabari(hawako pichani ) juu ya uzinduzi huo,kushoto kwake ni Afisa Ushawishi na utetezi (KWIECO) na Mratibu wa maadhimisho hayo kanda,Hilary Tesha. Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya Kaskazini. Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro...

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Dar es salaam, Madereva wa boda boda wakiongoza maandamano ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake jijini Dar es salaam. Maandamano hayo yalianzia uwanja wa Tipi ulioko Sinza hadi katika hotel ya Blue Pearl iliyopo Ubungo.Dar es salaam, Ujumbe mbalimbali wa maadhimisho ya kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.Kilimanjaro, Maandamano yakipita eneo la kituo kuu cha Mabasi cha mjini Moshi yakieekea katika viwanja vya kituo hicho ambako uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA IRINGA WAITUMIA VALENTINE'S DAY KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

 Wanaharakati Manispaa ya Iringa wakiitumia Siku ya Wapendanao 'Valentine's Day' kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia  leo.  Wanaharakati  wakiwa  katika…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani