TGNP yafanya Tamasha kupinga Ukatili wa Kijinsia
Kaimu Mkuu wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi.Lilian Liundi akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari.
Na Mwandishi wetu
Tamasha la kupinga ukatili wa kijinsia lililojulikana kama siku ya rangi ya chungwa lilifanyika jana jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike.
Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Liliani Liundi alisema, Tanzania ilipewa jina la kisiwa cha amani lakini jina hili haliwezi kuwa la kweli ikiwa kuna...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Dec
Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP



11 years ago
Mwananchi08 Mar
‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’
11 years ago
Tanzania Daima27 Sep
PWMO yajikita kupinga ukatili wa kijinsia
WANAHABARI wanawake mkoani Pwani wamezindua chao kinachofahamika kwa jina la PWMO. Uzinduzi huo ulikuwa na kaulimbiu ya kupinga ukatili wa kijinsia unaofanywa katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya mkoa...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Kampeni kupinga ukatili wa kijinsia yaiva
9 years ago
MichuziUZINDUZI WA WANAHARAKATI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziKANDA YA KASKAZINI WAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kanda ya Kaskazini wazindua siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia



9 years ago
Michuzi
MATUKIO MBALIMBALI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA



11 years ago
GPLWAKAZI WA IRINGA WAITUMIA VALENTINE'S DAY KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA