Wadai kuhangaishwa na polisi Eastleigh
Wakazi wengi ambao ni wasomali wanasema kuwa polisi wanawachapa na kuwakamata kiholela huku operesheni hiyo ya usalama ikiendelea kwa siku ya tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Polisi wadai wanachunguza mauaji
Polisi Mkoa wa Morogoro imedaiwa inafanya uchunguzi kuona kama kulikuwa na sababu ya kutumia nguvu kubwa hata kusababisha vifo vya watu watatu, ambao ni wakulima wanaodaiwa kuuawa na askari Kijiji cha Igawa Malinyi, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Viongozi wa Uamsho wadai polisi waliwafanyia ukatili
Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) wameilalamikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa polisi “walitumia ushenzi na ukatili†wakati wa kuwahoji.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnul87d0RU2DaXV7g4zOVCAhYNc*F020BPTYZH9OE2rGZx9-v0wqt30bNgyGku4FFXNn2YJAxiXh6O-KeylmxSk/122.jpg)
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Al-Shabab yasajili wakenya Eastleigh
Kundi la wapiganaji wa Kisomali wa Alshabab limeanza kuwasajili vijana katika mtaa wa Eastleigh Nairobi.
11 years ago
TheCitizen02 Apr
Over 600 arrested after Eastleigh terror attack
>Kenya Police have arrested 657 suspects in Eastleigh, Nairobi following Monday night terror attack that left six people dead. Interior Cabinet Secretary Joseph Ole Lenku said a security operation has been launched in Eastleigh and will continue until the perpetrators of the attack are brought to book.
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Chifu mwanamke anayeunganisha jamii Eastleigh
Jawahir Musa ni chifu katika mtaa wa Eastleigh mjini Nairobi na kwa miaka kadhaa amekuwa kiunganishi kati ya serikali na wakazi wa mtaa huo.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Wakaazi wa Old Town na Eastleigh waliowekewa amri ya kutotoka nje walalamikia wanachopitia Kenya
Wakaazi Jabir Shek Ismae kutoka Eastleigh na Aly Uweso Abubakr Salim kutoka mtaa wa Old town wanazungumzia uzoefu wao katika siku 29 za amri ya kutotoka nje.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wadai kubambikiwa kesi
DIWANI wa Levelos, Ephata Nanyaro (CHADEMA) amelitaka Jeshi la Polisi mkoani Arusha kuacha kufanya kazi kisiasa kwani inaweza kuhatarisha amani na usalama. Alidai kuwa siku chache baada ya kutoa kauli...
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Al Shabaab wadai kushambulia AU
Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania