Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadai kuhangaishwa na polisi Eastleigh

Wakazi wengi ambao ni wasomali wanasema kuwa polisi wanawachapa na kuwakamata kiholela huku operesheni hiyo ya usalama ikiendelea kwa siku ya tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadai wanachunguza mauaji

Polisi Mkoa wa Morogoro imedaiwa inafanya uchunguzi kuona kama kulikuwa na sababu ya kutumia nguvu kubwa hata kusababisha vifo vya watu watatu, ambao ni wakulima wanaodaiwa kuuawa na askari Kijiji cha Igawa Malinyi, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Uamsho wadai polisi waliwafanyia ukatili

Viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) wameilalamikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa polisi “walitumia ushenzi na ukatili” wakati wa kuwahoji.

 

10 years ago

GPL

AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Shabab yasajili wakenya Eastleigh

Kundi la wapiganaji wa Kisomali wa Alshabab limeanza kuwasajili vijana katika mtaa wa Eastleigh Nairobi.

 

11 years ago

TheCitizen

Over 600 arrested after Eastleigh terror attack

>Kenya Police have arrested 657 suspects in Eastleigh, Nairobi following Monday night terror attack that left six people dead. Interior Cabinet Secretary Joseph Ole Lenku said a security operation has been launched in Eastleigh and will continue until the perpetrators of the attack are brought to book.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chifu mwanamke anayeunganisha jamii Eastleigh

Jawahir Musa ni chifu katika mtaa wa Eastleigh mjini Nairobi na kwa miaka kadhaa amekuwa kiunganishi kati ya serikali na wakazi wa mtaa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakaazi wa Old Town na Eastleigh waliowekewa amri ya kutotoka nje walalamikia wanachopitia Kenya

Wakaazi Jabir Shek Ismae kutoka Eastleigh na Aly Uweso Abubakr Salim kutoka mtaa wa Old town wanazungumzia uzoefu wao katika siku 29 za amri ya kutotoka nje.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadai kubambikiwa kesi

DIWANI wa Levelos, Ephata Nanyaro (CHADEMA) amelitaka Jeshi la Polisi mkoani Arusha kuacha kufanya kazi kisiasa kwani inaweza kuhatarisha amani na usalama. Alidai kuwa siku chache baada ya kutoa kauli...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wadai kushambulia AU

Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani