Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chifu mwanamke anayeunganisha jamii Eastleigh

Jawahir Musa ni chifu katika mtaa wa Eastleigh mjini Nairobi na kwa miaka kadhaa amekuwa kiunganishi kati ya serikali na wakazi wa mtaa huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE

   Chief Adam wa Pili Adam Abdul Adam Sapi Mkwawa Mwamuyinga jana alisimikwa rasmi na kukabidhiwa miiko ya utawala wa kabila la Kihehe baada ya kufikisha umri wa kuongoza.

Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila

 CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14, akijiandaa kumtawaza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Chifu Msaidizi wa kabila hilo katika sherehe za aina yake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Kinole, kata ya Makuyuni, Morogoro vijijini Agosti 22, 2014.  Rais Kikwete pia alipewa jina la CHIDUKILA, lenye kumaanisha "muibukaji", kwa maana ya kwamba Rais Kikwete ana uhuru wa kuibuka kijijini Kinole bila taarifa wala kusubiri kualikwa.
 CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA CHIFU KINGALU WA 14 WA WALUGURU, NA KUSIMIKWA KWA CHIFU KINGALU 15 KIJIJINI KINOLE, MOROGORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na pia kumpongeza Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na hatimaye mazishi ya kaka yake Marehemu Chifu Kingalu wa 14.
Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 akiongea machache baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na...

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco yakamata mfanyakazi ‘feki’ anayeunganisha umeme

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limemkamata mkazi wa Mikocheni, Hamad Mlolwa kwa tuhuma za kujifanya mfanyakazi wa shirika hilo na kuziunganishia umeme kinyemela nyumba mbili zilizopo eneo la Kimara Matosa katika Manispaa ya Kinondoni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wadai kuhangaishwa na polisi Eastleigh

Wakazi wengi ambao ni wasomali wanasema kuwa polisi wanawachapa na kuwakamata kiholela huku operesheni hiyo ya usalama ikiendelea kwa siku ya tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Shabab yasajili wakenya Eastleigh

Kundi la wapiganaji wa Kisomali wa Alshabab limeanza kuwasajili vijana katika mtaa wa Eastleigh Nairobi.

 

11 years ago

TheCitizen

Over 600 arrested after Eastleigh terror attack

>Kenya Police have arrested 657 suspects in Eastleigh, Nairobi following Monday night terror attack that left six people dead. Interior Cabinet Secretary Joseph Ole Lenku said a security operation has been launched in Eastleigh and will continue until the perpetrators of the attack are brought to book.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani