Tanesco yakamata mfanyakazi ‘feki’ anayeunganisha umeme
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limemkamata mkazi wa Mikocheni, Hamad Mlolwa kwa tuhuma za kujifanya mfanyakazi wa shirika hilo na kuziunganishia umeme kinyemela nyumba mbili zilizopo eneo la Kimara Matosa katika Manispaa ya Kinondoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
9 years ago
Habarileo21 Dec
Tanesco yakamata 235 kwa hasara ya mil 200/
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Arusha limekamata watu 235 wanaodaiwa kuwa ni wezi waliokuwa wakihujumu baadhi ya miundombinu ya shirika hilo na kulisababishia hasara ya zaidi ya Sh milioni 200.
11 years ago
Michuzi20 Jul
KISHOKA ALIYEJIFANYA MFANYAKAZI WA TANESCO ADAKWA LIVE MLIMANI CITY
![10500539_819006161445574_7780628803053090260_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/10500539_819006161445574_7780628803053090260_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/10500539_819006161445574_7780628803053090260_n.jpg)
TAPELI LILILOJIDAI MFANYAKAZI WA TANESCO LADAKWA LIVE MLIMANI CITY!
9 years ago
Mwananchi07 Sep
TBS yabaini vifaa feki vya umeme jua
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Tanesco yapandisha bei ya umeme
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.
10 years ago
Habarileo26 Aug
Tanesco yakataa umeme wa bei ghali
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
TCCL kunua umeme wa MVA 40 Tanesco
KAMPUNI ya Saruji Tanga (TCCL), imeingia makubalino ya kununua umeme wa kiwango cha MVA 40 na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kituo cha Pongwe, jijini Tanga. Akizungumza wakati wa kusaini...