Tanesco yapandisha bei ya umeme
>Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za umeme ambazo zimepanda kwa kuzingatia makundi tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Aug
Tanesco yakataa umeme wa bei kubwa
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.
10 years ago
Habarileo26 Aug
Tanesco yakataa umeme wa bei ghali
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limekataa mkataba wa kununua umeme wa makaa ya mawe kwa gharama kubwa kutoka Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kwa kuwa utavuruga mpango wao wa kupunguza gharama ya umeme kwa wananchi.
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Ewura yaiagiza Tanesco kupunguza bei ya umeme
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wakazi 200 Dar waitaka TANESCO ishushe bei ya umeme
UMOJA wa wakazi zaidi ya 200 wa Dar es Salaam wametoa siku kumi kwa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), pamoja na vyombo vingine vya maamuzi, kubatilisha maamuzi yake juu ya bei mpya ya umeme na irejeshwe bei iliyokuwepo.
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Dawasco yapandisha bei ya maji
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Mvua yapandisha umeme
UKOSEFU wa mvua umetajwa kuwa ni sababu inayochangia kupanda kwa gharama za umeme nchini. Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura-CCC), Profesa Jamidu...
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
Mhandisi Emmanuel Manirabona akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo
Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini
Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya ambazo zilizokatwa na...
10 years ago
Habarileo04 Feb
‘Tanesco haiwezi kushusha bei kwa sasa’
KUSHUKA kwa bei ya mafuta katika soko la dunia hakujawapa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unafuu wa kuwafanya washushe bei ya umeme.
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.