TAPELI LILILOJIDAI MFANYAKAZI WA TANESCO LADAKWA LIVE MLIMANI CITY!

Pichani juu na chini ni Kishoka wa Tanesco aliyekamatwa Mlimani City. Na Mwandishi wetu TAPELI lililokubuhu kwa masuala ya kulaghai watu kwa njia ya kujifanya kishoka washirika la Umeme Nchini, Tanesco, jana asubuhi limedakwa baada ya kuwekewa mtego walipokuwa wakitaka kutapeli kwa mmoja wa Afisa wa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma- Ledama. Kwa mujibu wa Bi. Usia akieleza tukio hilo,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog20 Jul
Tapeli lililojidai Kishoka wa Tanesco ladakwa Live Mlimani City
Pichani juu na chini ni Kishoka wa Tanesco aliyekamatwa Mlimani City.
Na Mwandishi wetu
TAPELI lililokubuhu kwa masuala ya kulaghai watu kwa njia ya kujifanya kishoka washirika la Umeme Nchini, Tanesco, jana asubuhi limedakwa baada ya kuwekewa mtego walipokuwa wakitaka kutapeli kwa mmoja wa Afisa wa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma- Ledama.
Kwa mujibu wa Bi. Usia akieleza tukio hilo, alidai kuwa tapeli huyo alifika asubuhi akiwa na wenzake sita, ...
11 years ago
GPL
TAPELI LILILOJIDAI KISHOKA WA TANESCO LADAKWA LIVE MLIMANI CITY
11 years ago
Michuzi20 Jul
KISHOKA ALIYEJIFANYA MFANYAKAZI WA TANESCO ADAKWA LIVE MLIMANI CITY

11 years ago
GPL5 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
FATILIA HAPA UTOAJI TUZO ZA KILI MUSIC LIVE KUTOKA MLIMANI CITY JIJINI DAR


10 years ago
Vijimambo
VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!



10 years ago
Habarileo04 Jul
Tanesco yakamata mfanyakazi ‘feki’ anayeunganisha umeme
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limemkamata mkazi wa Mikocheni, Hamad Mlolwa kwa tuhuma za kujifanya mfanyakazi wa shirika hilo na kuziunganishia umeme kinyemela nyumba mbili zilizopo eneo la Kimara Matosa katika Manispaa ya Kinondoni.
10 years ago
Vijimambo
MAGUFULI AWASILI MLIMANI CITY


