CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s72-c/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
Chief Adam wa Pili Adam Abdul Adam Sapi Mkwawa Mwamuyinga jana alisimikwa rasmi na kukabidhiwa miiko ya utawala wa kabila la Kihehe baada ya kufikisha umri wa kuongoza.
Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Chifu Adam Sapi Mkwawa wa Pili, kusubiri miaka 7 aongoze Wahehe
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
PINDA AWASILI IRINGA, AKUTANA NA CHIFU WA WAHEHE ADAM ABDU SAPI MKWAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-KpLwQoJOc/VYW6HWEpsYI/AAAAAAAHh28/VDVglWAT9cE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJpIAa2vzxA/VYW6G5DI6cI/AAAAAAAHh24/0eMwSVx2CQ4/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s72-c/k1.jpg)
Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7ruhR7Z9QY/U_hKwvzBrxI/AAAAAAAGBmA/msdYqRdUesY/s1600/k4.jpg)
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...
10 years ago
Habarileo17 Feb
Mwanafunzi atawazwa Chifu wa Wahehe
MWANAFUNZI wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa jana mkoani Iringa.
10 years ago
GPLKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA - APEWA HESHIMA YA UCHIFU WA WAHEHE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s72-c/3%2B(1).jpg)
JK aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s1600/3%2B(1).jpg)
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mzuri, kiongozi na mtu wa watu, ambaye katika maisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wQgOzDiO9Xw/VZWUgWV8hqI/AAAAAAADvS4/N67wzXxjsg4/s72-c/k2.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA CHIFU KINGALU WA 14 WA WALUGURU, NA KUSIMIKWA KWA CHIFU KINGALU 15 KIJIJINI KINOLE, MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-wQgOzDiO9Xw/VZWUgWV8hqI/AAAAAAADvS4/N67wzXxjsg4/s640/k2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DEwAHnar3qk/VZWUgtAFU-I/AAAAAAADvTA/cy7beLKTlW0/s640/k3.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na pia kumpongeza Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na hatimaye mazishi ya kaka yake Marehemu Chifu Kingalu wa 14.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3FvbpaxirvI/VZWUgkQ2DKI/AAAAAAADvS8/z9WAmKmwnKo/s640/k4.jpg)
Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 akiongea machache baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na...
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa (wa kwanza kushoto) enzi za uhai wake akiwa na machifu wasaidizi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo...