Chifu Adam Sapi Mkwawa wa Pili, kusubiri miaka 7 aongoze Wahehe
Unapokutana naye kwa mara ya kwanza huwezi kubaini tofauti yake na watoto wengine wenye umri wa miaka 13 kama alivyo yeye ambao hupenda na kufurahia kucheza michezo mbalimbali ikiwamo ya kompyuta, kuendesha baiskeli, mpira wa kikapu hasa baada ya kumaliza mazoezi ya shuleni au kusaidia kuuza duka la familia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
PINDA AWASILI IRINGA, AKUTANA NA CHIFU WA WAHEHE ADAM ABDU SAPI MKWAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-KpLwQoJOc/VYW6HWEpsYI/AAAAAAAHh28/VDVglWAT9cE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJpIAa2vzxA/VYW6G5DI6cI/AAAAAAAHh24/0eMwSVx2CQ4/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s72-c/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s640/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.
![](https://1.bp.blogspot.com/-S80vsH1zLlk/Xu9uf-C-PSI/AAAAAAABoQ0/W_13LZDFvmEPrb79wlOW0xmC0ol075EgQCLcBGAsYHQ/s640/f3dd9958-6d9f-4cef-b3fb-a66c11048ba0.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ADAM SAPI MKWAWA
10 years ago
GPLKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA - APEWA HESHIMA YA UCHIFU WA WAHEHE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s72-c/3%2B(1).jpg)
JK aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s1600/3%2B(1).jpg)
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mzuri, kiongozi na mtu wa watu, ambaye katika maisha...
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa (wa kwanza kushoto) enzi za uhai wake akiwa na machifu wasaidizi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s72-c/unnamed-62.jpg)
:Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa,
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s1600/unnamed-62.jpg)
---
![](http://1.bp.blogspot.com/-OoVt6d_Er5w/VOHpIgTaCKI/AAAAAAADNqM/Ioh7cgRptBA/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia juzi, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mnzuri, kiongozi na mtu wa...
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Rais Kikwete ashuhudia kutawazwa kwa Chifu Mkwawa mpya mwenye umri wa miaka 14
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Februari 16, 2015, ameungana na mamia ya waombolezaji kumlaza katika nyumba yake ya milele, Chifu wa Kabila la Wahehe, Chifu Abdu Mfwimi Adam Mkwawa.
Aidha, Rais Kikwete ameshuhudia kutawazwa kwa Chifu mpya, Chifu Adam Abdu Mkwawa, Mtwa Adam wa Pili, kijana wa miaka 14, ambaye yuko darasa la saba na ambaye anachukua nafasi ya baba yake ambaye aliaga dunia juzi, Jumamosi, Februari 14, 2015.
Mtwa Adam wa...