JK aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s72-c/3%2B(1).jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia jana, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mzuri, kiongozi na mtu wa watu, ambaye katika maisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa (wa kwanza kushoto) enzi za uhai wake akiwa na machifu wasaidizi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s72-c/unnamed-62.jpg)
:Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa,
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s1600/unnamed-62.jpg)
---
![](http://1.bp.blogspot.com/-OoVt6d_Er5w/VOHpIgTaCKI/AAAAAAADNqM/Ioh7cgRptBA/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia juzi, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mnzuri, kiongozi na mtu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
PINDA AWASILI IRINGA, AKUTANA NA CHIFU WA WAHEHE ADAM ABDU SAPI MKWAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-KpLwQoJOc/VYW6HWEpsYI/AAAAAAAHh28/VDVglWAT9cE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJpIAa2vzxA/VYW6G5DI6cI/AAAAAAAHh24/0eMwSVx2CQ4/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziMH. MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ABDU MKWAWA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Chief wa Wahehe,Mtwa Adam Mkwawa wa II wakati alipokwenda nyumbani kwa Chifu huyo, Kalenga Iringa...
11 years ago
CloudsFM16 Jul
PINDA KUWAONGOZA WANA IRINGA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA CHIFU MKWAWA.
WAZIRI Mkuu Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Chifu Mkwawa yatakayofanyika katika kijiji cha Kalenga, Iringa Vijijini Julai 19, mwaka huu.
Siku moja kabla ya kilele cha maadhimisho hayo (Julai 18), kutakuwepo na kongamano la wazi litakalofanyika katika Chuo Kikuu cha Mkwawa litakalo jadili mada mbalimbali zitakazolenga kumkumbuka Chifu Mkwawa na utalii.
Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na kamati yake ya utalii ya mkoa...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Chifu Adam Sapi Mkwawa wa Pili, kusubiri miaka 7 aongoze Wahehe
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ADAM SAPI MKWAWA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s72-c/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s640/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.
![](https://1.bp.blogspot.com/-S80vsH1zLlk/Xu9uf-C-PSI/AAAAAAABoQ0/W_13LZDFvmEPrb79wlOW0xmC0ol075EgQCLcBGAsYHQ/s640/f3dd9958-6d9f-4cef-b3fb-a66c11048ba0.jpg)