MH. MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ABDU MKWAWA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chifu wa Wahehe , Mtwa Adam Mkwakwa wa II wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa Februari 20, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishiriki katika dua mbele ya kaburi la marehemu Chifu Abdu Adam Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chifu huyo, Kalenga Iringa kuhani Februari 20, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Chief wa Wahehe,Mtwa Adam Mkwawa wa II wakati alipokwenda nyumbani kwa Chifu huyo, Kalenga Iringa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ADAM SAPI MKWAWA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
PINDA AWASILI IRINGA, AKUTANA NA CHIFU WA WAHEHE ADAM ABDU SAPI MKWAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-KpLwQoJOc/VYW6HWEpsYI/AAAAAAAHh28/VDVglWAT9cE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJpIAa2vzxA/VYW6G5DI6cI/AAAAAAAHh24/0eMwSVx2CQ4/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ooP2Dh2S4LY/VPWxlf62bZI/AAAAAAADQWM/JehA7Ul28L8/s72-c/MIZ2.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda Ahani Msiba wa wa mtoto wa Mama Kyendesya
![](http://3.bp.blogspot.com/-ooP2Dh2S4LY/VPWxlf62bZI/AAAAAAADQWM/JehA7Ul28L8/s1600/MIZ2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CMnMCvHQkpE/VPWxlQQvH2I/AAAAAAADQWI/8tTi6BA-l3w/s1600/MIZ1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s72-c/3%2B(1).jpg)
JK aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s1600/3%2B(1).jpg)
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mzuri, kiongozi na mtu wa watu, ambaye katika maisha...
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa (wa kwanza kushoto) enzi za uhai wake akiwa na machifu wasaidizi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s72-c/unnamed-62.jpg)
:Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa,
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s1600/unnamed-62.jpg)
---
![](http://1.bp.blogspot.com/-OoVt6d_Er5w/VOHpIgTaCKI/AAAAAAADNqM/Ioh7cgRptBA/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia juzi, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mnzuri, kiongozi na mtu wa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Pinda kubariki kumbukizi ya Chifu Mkwawa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajia kuwaongoza wanakijiji cha Kalenga na Mkoa wa Iringa katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya aliyekuwa Chifu wa Wahehe, Mkwawa itakayofanyika kijijini hapo Julai 19....
11 years ago
CloudsFM16 Jul
PINDA KUWAONGOZA WANA IRINGA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA CHIFU MKWAWA.
WAZIRI Mkuu Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Chifu Mkwawa yatakayofanyika katika kijiji cha Kalenga, Iringa Vijijini Julai 19, mwaka huu.
Siku moja kabla ya kilele cha maadhimisho hayo (Julai 18), kutakuwepo na kongamano la wazi litakalofanyika katika Chuo Kikuu cha Mkwawa litakalo jadili mada mbalimbali zitakazolenga kumkumbuka Chifu Mkwawa na utalii.
Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na kamati yake ya utalii ya mkoa...