Rais Kikwete aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa (wa kwanza kushoto) enzi za uhai wake akiwa na machifu wasaidizi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s72-c/3%2B(1).jpg)
JK aomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa
![](http://4.bp.blogspot.com/-R2M6UH2y0JA/VOECHvuS_SI/AAAAAAAHD4E/rVFBKDScQ1Q/s1600/3%2B(1).jpg)
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mzuri, kiongozi na mtu wa watu, ambaye katika maisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s72-c/unnamed-62.jpg)
:Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa,
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s1600/unnamed-62.jpg)
---
![](http://1.bp.blogspot.com/-OoVt6d_Er5w/VOHpIgTaCKI/AAAAAAADNqM/Ioh7cgRptBA/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia juzi, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mnzuri, kiongozi na mtu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
PINDA AWASILI IRINGA, AKUTANA NA CHIFU WA WAHEHE ADAM ABDU SAPI MKWAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydINIFmmDA8/VYW6GhIXGNI/AAAAAAAHh20/R2td16tA1o4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-KpLwQoJOc/VYW6HWEpsYI/AAAAAAAHh28/VDVglWAT9cE/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJpIAa2vzxA/VYW6G5DI6cI/AAAAAAAHh24/0eMwSVx2CQ4/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziMH. MIZENGO PINDA AHANI MSIBA WA CHIFU ABDU MKWAWA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Chief wa Wahehe,Mtwa Adam Mkwawa wa II wakati alipokwenda nyumbani kwa Chifu huyo, Kalenga Iringa...
11 years ago
CloudsFM16 Jul
PINDA KUWAONGOZA WANA IRINGA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA CHIFU MKWAWA.
WAZIRI Mkuu Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Chifu Mkwawa yatakayofanyika katika kijiji cha Kalenga, Iringa Vijijini Julai 19, mwaka huu.
Siku moja kabla ya kilele cha maadhimisho hayo (Julai 18), kutakuwepo na kongamano la wazi litakalofanyika katika Chuo Kikuu cha Mkwawa litakalo jadili mada mbalimbali zitakazolenga kumkumbuka Chifu Mkwawa na utalii.
Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na kamati yake ya utalii ya mkoa...
11 years ago
Habarileo03 Jul
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Ng’wanakilala
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi, kuomboleza kifo cha mwandishi wa habari mkongwe na mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine, Nkwabi Ng’wanakilala.
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Nkwabi Ng’wanakilala
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha mwandishi wa habari mkongwe na mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Mt. Augustine, Bwana Nkwabi Ng’wanakilala.
Bwana Ng’wanakilala ambaye alifariki dunia mwishoni mwa wiki kwenye Hospitali ya Rufani ya Bugando mjini Mwanza kwa matatizo ya figo na tumbo, alizikwa jana, Jumatatu, Julai Mosi, 2014, nyumbani kwake Kibamba, Dar es Salaam.
Katika salamu ambazo amemtumia...