Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAFASI YA MWANAMKE KATIKA KUIJENGA JAMII.


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

IAWRT yazindua Ripoti ya nafasi ya Mwanamke katika Vyombo vya Habari

Bi Razia Mwawanga kutoka IAWRT akifungua mkutano wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa hapa nchini.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamojablog)

Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) Tanzania Bi. Rose Haji Mwalimu akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa...

 

11 years ago

GPL

REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA‏

Mwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG), yanayoendelea mjini Dodoma. Meneja Mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akielezea maudhui ya warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi...

 

10 years ago

Habarileo

Wajipongeza nafasi ya mwanamke Katiba mpya

UMOJA wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG)wamejipongeza kwa hatua waliyofikia na manufaa waliyoyapata wanawake katika Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa.

 

9 years ago

Habarileo

Baraza Kuu UN lajadili nafasi ya mwanamke

BARAZA Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha maazimio mbalimbali yanayoelekeza na kusisitiza hatua za kufanywa kushirikisha wanawake katika ngazi ya maamuzi.

 

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII

DSC_0046 Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama, akitoa mafunzo ya maadili na jinsia kwa waandishi wa habari na watangazaji wa Redio za Jamii nchini yanayolenga kuwajengea uwezo katika utendaji wa kazi zao kwenye vituo vyao. Mafunzo hayo ya siku tano yamefadhiliwa na Shirika la UNESCO kupitia mradi wa Demokrasia na Amani kuelekea uchaguzi 2015. DSC_0012 Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa somo kwa washiriki wa Semina ya...

 

11 years ago

GPL

WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII‏

Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama, akitoa mafunzo ya maadili na jinsia kwa waandishi wa habari na watangazaji wa Redio za Jamii nchini yanayolenga kuwajengea uwezo katika utendaji wa kazi zao kwenye vituo vyao.Mafunzo hayo ya siku tano yamefadhiliwa na Shirika la UNESCO kupitia mradi wa Demokrasia na Amani kuelekea uchaguzi 2015. Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco Mama...

 

11 years ago

Michuzi

Haikupunguzii chochote kumpa mwanamke nafasi - Mwanamitindo Flaviana Matata

Joseph Msami na Falviana Matata katika mahojiano
Wakati mikutano mbalimbali kuhusu hali ya ya wanwake ikiendelea mjini New York Marekani, mwanamitindo nguli wa kimataifa kutoka Tanzania Flaviana Matata ambaye pia anamiliki taasisi iitwayo Flaviana Matata inayotoa misaada ya kielimu, amesema ikiwa wanawake watainuana na kupeana nafasi watapiga hatua kwani kufanya hivyo kunatoa fursa zaidi kwa kundihilo.
Katika mahiojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhudhuria...

 

9 years ago

BBCSwahili

Chifu mwanamke anayeunganisha jamii Eastleigh

Jawahir Musa ni chifu katika mtaa wa Eastleigh mjini Nairobi na kwa miaka kadhaa amekuwa kiunganishi kati ya serikali na wakazi wa mtaa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani