Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao
Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.
Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAPSEA YATANGAZA VIONGOZI WAKE WAPYA
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
9 years ago
CCM Blog16 Nov
CCM RORYA YAWASIMAMISHA VIONGOZI 16 WALIOSALITI CHAMA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Mwenyekiti wa CCM wa wilata hiyo mkoani Mara, Samwel Kiboye amesema Chama kimewapa siku 13 kutoa utetezi wao kabla ya kuvuliwa uanachama
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qz1CjUJ7cak/XtypC_AA9pI/AAAAAAAC6_8/UQZvGS7FqCsUQZmjwJLL8Fj7YcNVI7s1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Michuzi24 Aug
WAANDISHI WANAWAKE PWANI WAANZISHA CHAMA CHAO
WANAWAKE nchini wametakiwa kutokubali kufumbia macho vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kuhofia kutengwa na familia zao badala yake wawe watoa taarifa ili kuwadhibiti watu wanaoendeleza vitendo hivyo ambavyo ni kinyume cha sheria na uvunjaji wa haki za binadamu.
Tabia ya kuficha ukatili wa kijinsia imesababisha wahusika kujikuta wakiathirika kutokana na vitendo hivyo ambavyo vimeshamiri kutokana na kuendelea kwa usiri ndani ya familia.
Hayo yalisema jana mjini Kibaha...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kwanini Kinana na Nape hawaanzishi chama chao?
NAKUMBUKA kisa cha Abunuwasi. Vingi kati ya visa vyake ambapo kwa wale waliobahatika kusoma Hekaya za Abunuwasi vinaonekana ni vya kitoto na visivyo na uhalisia. Lakini baada ya tafakari fupi,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-1.jpg)
Kailima:Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafunguji Tanzania (CCWT) kufanyika 16 Julai, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-1.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa taarifa kwa Umma kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) utakaofanyika tarehe 16 Julai, 2020. Kailima, ametoa taarifa hiyo katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAILIMA AZUNGUMZIA SABABU ZA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA ( CCWT)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6giPWMubz8/Xu4ueS0bjqI/AAAAAAALuxA/NfOCnBYdzewC9tIFX96fIeM4BfE-3xBzACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jul
January amvaa Kingunge, asema sasa anakivuruga chama chao
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/wFUTQ7Cbxto/default.jpg)
WABUNGE WALIOMWITA LOWASSA FISADI SASA WAMKARIBISHA KWENYE CHAMA CHAO
By Florence Majani, Mwananchi
Dar es Salaam. Baadhi ya wabunge wa Chadema wamezungumzia taarifa zinazosambaa zikieleza kuwapo mkakati wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhamia katika chama hicho, wengi wao wakimkaribisha.
Wakati wabunge hao wakikubali kumpokea, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa amesema wananchi wasubiri mambo yatakapokuwa tayari badala ya kutegemea mitandao ya kijamii.
“Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini… sasa hivi...