WABUNGE WALIOMWITA LOWASSA FISADI SASA WAMKARIBISHA KWENYE CHAMA CHAO
![](http://img.youtube.com/vi/wFUTQ7Cbxto/default.jpg)
By Florence Majani, Mwananchi
Dar es Salaam. Baadhi ya wabunge wa Chadema wamezungumzia taarifa zinazosambaa zikieleza kuwapo mkakati wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhamia katika chama hicho, wengi wao wakimkaribisha.
Wakati wabunge hao wakikubali kumpokea, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa amesema wananchi wasubiri mambo yatakapokuwa tayari badala ya kutegemea mitandao ya kijamii.
“Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini… sasa hivi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Wabunge wa Chadema wamkaribisha Lowassa
10 years ago
Mwananchi18 Jul
January amvaa Kingunge, asema sasa anakivuruga chama chao
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi
10 years ago
Michuzi24 Aug
WAANDISHI WANAWAKE PWANI WAANZISHA CHAMA CHAO
WANAWAKE nchini wametakiwa kutokubali kufumbia macho vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kuhofia kutengwa na familia zao badala yake wawe watoa taarifa ili kuwadhibiti watu wanaoendeleza vitendo hivyo ambavyo ni kinyume cha sheria na uvunjaji wa haki za binadamu.
Tabia ya kuficha ukatili wa kijinsia imesababisha wahusika kujikuta wakiathirika kutokana na vitendo hivyo ambavyo vimeshamiri kutokana na kuendelea kwa usiri ndani ya familia.
Hayo yalisema jana mjini Kibaha...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kwanini Kinana na Nape hawaanzishi chama chao?
NAKUMBUKA kisa cha Abunuwasi. Vingi kati ya visa vyake ambapo kwa wale waliobahatika kusoma Hekaya za Abunuwasi vinaonekana ni vya kitoto na visivyo na uhalisia. Lakini baada ya tafakari fupi,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VHiiifwc9YU/Vcv0FEQulTI/AAAAAAAD3G0/k8W_IFN5EoQ/s72-c/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
MBONA NI KAZI KIDOGO TU ILI MH LOWASSA ASIWE FISADI AU MWIZI,
![](http://1.bp.blogspot.com/-VHiiifwc9YU/Vcv0FEQulTI/AAAAAAAD3G0/k8W_IFN5EoQ/s640/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
10 years ago
Michuzi29 May
Viongozi Waanzilishi TAPSEA Walalamikia Uchaguzi wa Chama Chao
![Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_00042.jpg)
![Viongozi wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) walioko madarakani sasa ambao wanaolalamikiwa kuingia madarakani kinyume na katiba ya chama hicho wakizungumza na baadhi ya waandishi wa habari mjini Dodoma kuzungumzia mkutano wao mkuu unaoanza leo mjini Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0011.jpg)
9 years ago
VijimamboWATUMISHI WANAWAKE WA KRISTO WA KANISA LA TAG NCHINI WAADHIMISHA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA KWA CHAMA CHAO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OlGFONkFiu8/VEdMipw5qcI/AAAAAAAGsj4/qUXxajXO_nM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
CHADEMA NACHINGWEA WAKIKIMBIA CHAMA CHAO NA KUJIUNGA NA CCM, WAZIRI CHIKAWE APOKEA KADI ZAO NA KUWAKARIBISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OlGFONkFiu8/VEdMipw5qcI/AAAAAAAGsj4/qUXxajXO_nM/s1600/PIX%2B1.jpg)