WATUMISHI WANAWAKE WA KRISTO WA KANISA LA TAG NCHINI WAADHIMISHA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA KWA CHAMA CHAO
Makamu Mstaafu wa wanawake wa watumishi wa Kristo (WWK) Taifa Bi. Eshimendi Roghat Swai akihubiri katika maadhimisho ya miaka 50 ya chama cha wanawake hao toka kuanzishwa ndani ya kanisa la Tanzania Assembless Of God (TAG) yaliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.Picha na John Banda.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafu Chiku Gallawa ( wa pili kutoka kushoto) akiwa pamoja na Baadhi ya viongozi wa Kanisa hilo katika katika uwanja wa Jamhuri Dodoma wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA (TAWLA) CHAZINDUA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 TANGU KIANZISHWE
10 years ago
GPLCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA (TAWLA) CHAZINDUA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 TANGU KIANZISHWE
10 years ago
MichuziTHT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6AX5LP_0FIc/VLe4NtIA2kI/AAAAAAABNlA/xvwcWsqX5fE/s1600/3.3.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s72-c/1.jpg)
CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s1600/1.jpg)
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-DjjcZlnX_50/VH28sZpMMmI/AAAAAAACvuk/ZkLywZZngO0/s1600/9.jpg)
9 years ago
MichuziHOME GYM MWENGE YASHEREHEKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA
Washiriki wakiwa katika Jogging.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NqulteiIpoU/VGYlQTApnEI/AAAAAAAGxPg/-ekrz66VjsA/s72-c/2.jpg)
KAMPUNI YA MAFUTA YA ENGEN YAANDIMISHA MIAKA 21 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqulteiIpoU/VGYlQTApnEI/AAAAAAAGxPg/-ekrz66VjsA/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wHBUqOz_Y2k/VGYlVOOHYLI/AAAAAAAGxQk/AbdZCsHmERg/s1600/8.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya Mafuta ya ENGEN Tanzania leo Novemba 14,2014 wameungana na wafanyakazi wenzao Barani Afrika kusherehekea Maadhimisho ya Miaka 21 ya kuanzishwa kwa Kampuni hiyo,ambayo husherehekewa kila Mwaka ifikapo tarehe kama ya leo.Engeni ni Kampuni iliyojikita katika uuzaji wa Mafuta bora ndani na nje ya Tanzania,huku ikiendelea kujivunia kwa Ubora wake.Pichani ni Sehemu ya Wafanyakazi wa Kampuni hiyo ya Engen hapa nchini wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya jengo lao Kurasini...
9 years ago
MichuziLHRC YAADHIMISHA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA KWAKE SEPTEMBA 26, 1995
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
THT kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, tarehe 31/1/2015, Escape 1
Meneja Mkuu wa Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent (THT), Mwita Mwaikenda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar leo.
Kufungua kampuni ya ushonaji na ubunifu wa mavazi
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent, kinatarajia kuadhimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapo tarehe 31/1/2015 Escape 1 jijini Dar es Salaam.
THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji, lakini wasio na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nLEl9cdSLmI/VNSVp75tk6I/AAAAAAACzeg/VxfTlxruEAc/s72-c/samuel.jpg)
Sitta awapongeza waandaaji wa Tamasha la Pasaka kutimiza miaka 15 tangu kuanzishwa kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLEl9cdSLmI/VNSVp75tk6I/AAAAAAACzeg/VxfTlxruEAc/s1600/samuel.jpg)