MBONA NI KAZI KIDOGO TU ILI MH LOWASSA ASIWE FISADI AU MWIZI,
![](http://1.bp.blogspot.com/-VHiiifwc9YU/Vcv0FEQulTI/AAAAAAAD3G0/k8W_IFN5EoQ/s72-c/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
1- Chadema wajitokeze mbele waseme wao ni wadanganyifu na Matapeli wa kisiasa.2- UKAWA wajitokeze na kusema ni kikundi cha walinda MAFISADI na sio wanao pambana na UFISADI.3- Chadema wajitokeze na kusema katika ile RIST OF SHAME ya watu 11 akiwemo na LOWASSA waliandika wakiwa WAMELEWA.4-UKAWA wajitokeze watwambie lini wameamua kuunga mkono serikali mbili za bwana LOWASSA.5- UKAWA wajitokeze watwambie wamejua ni kiasi gani cha Mapesa alichotumia LOWASSA wakati wa kusaka urais ndani ya CCM na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/wFUTQ7Cbxto/default.jpg)
WABUNGE WALIOMWITA LOWASSA FISADI SASA WAMKARIBISHA KWENYE CHAMA CHAO
By Florence Majani, Mwananchi
Dar es Salaam. Baadhi ya wabunge wa Chadema wamezungumzia taarifa zinazosambaa zikieleza kuwapo mkakati wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhamia katika chama hicho, wengi wao wakimkaribisha.
Wakati wabunge hao wakikubali kumpokea, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa amesema wananchi wasubiri mambo yatakapokuwa tayari badala ya kutegemea mitandao ya kijamii.
“Nitazungumza pale mambo yatakapokuwa sawa, siwezi kuzungumza sasa, subirini… sasa hivi...
10 years ago
VijimamboLowasa kutangaza kuhamia CHADEMA Julai 26, Mwembe yanga ambako Dr Slaa alimtangaza kuwa Fisadi Papa...KAZI IPO!!
Zipo taarifa za uhakika kwamba Edward Lowasa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari Jumapili tarehe 26 Julai 2015 Jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kueleza mambo mengi juu ya mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM uliopelekea jina lake kukatwa.Pia katika mkutano huo, Lowasa anatarajiwa kutangaza rasmi kujivua uanachama wake ndani ya CCM na kujiunga na CHADEMA ambapo baadaye jioni ataelekea viwanja vya...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s72-c/3.png)
DIAMOND AKANUSHA KUPEWA MILIONI 500 NA LOWASSA ILI AMPIGIE KAMPENI....ASEMA TAARIFA HIZO ZINALENGO LA KUMCHAFUA LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s640/3.png)
Alisema hata hivyo Diamond yupo tayari kumfanyia kampeni mgombea yeyote...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge
11 years ago
Mwananchi29 May
Tuufanyie kazi mpango wa EPZ ili kuongeza ajira
9 years ago
StarTV06 Jan
Serikali yapanga kujenga makazi ya watumishi ili kuleta Ufanisi Wa Kazi
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula amesema Wizara yake inaangalia uwezekano wa kushirikiana na Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI na ile ya Utumishi wa Umma kuhakikisha watumishi wa Umma wanakuwa na nyumba bora ili kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Amesema watumishi wanaoishi vijijini ndiyo wanaoathirika zaidi kutokana na kukosa makazi bora hatua inayowafanya wengi wao kushindwa kumudu kufanya kazi zao na...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Sasa kazi ni moja tu, kudai Tume Huru ya Uchaguzi ili haki itendeke