Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO

Kwenye picha anayepandishwa kwenye kalandinga na mkimbiajia wa marathon Deogratiua Lazaro alipomvamia mkimbiaji mbio mwenzake Fabian Joseph na kmjeruhi kwa kumuuma mkono kwa tuhuma za uchawi kwenye mashindano ya mbio za Uhuru marathoni zilizokua sehemu ya sherehe ya miaka 53 ya Uhuru .
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.

Tukio hilo la...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Unaujua mpira wa ‘Chandimu’..??? usome hapa kidogo!

10897956_10205676257055303_6563821237505954734_n

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Tanzania ni miongoni mwa Taifa ambalo limekuwa likikua kila kukicha kwa kila Nyanja ikiwemo Elimu, biashara na Uchumi wake kwa ujumla ambapo mbali na vitu hivyo pia suala la michezo ikiwemo mchezo wa mpira miguu ama soka, umekuwa na mageuzi yake pia.

Tukija katika suala hilo la mageuzi katika soka, ni pamoja na matumizi yake ya nyenzo zilizokuwa zikitumika, ikiwemo mpira katika dimba. Enzi hizo mpira uliokuwa ukitumika ni wa kufuma na makaratasi ambao ni...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE

Habari ndiyo hii ((The Fruit of Education are Sweet )) kazi kwako ujumbe umefika huo tena live bila chenga.

 

11 years ago

Michuzi

BURUDANI KIDOGO

Picha hii imepigwa Africa ya kusini, katika mbuga ya wanyama ya Kruger. Hawa jamaa waonekana taaban, utafikiri wagonjwa ama nini lakini ukweli ni kwamba wamelewa. Ila Hawakunywa tembo (ha ha tembo) ila wamekula makusudi matunda ya MURULA ambayo ni kama maembe lakini yakiiva sana yalevya..Na matunda hayo ndiyo hutumika kutengeneza kilaji cha Amarula - Mdau Sauzi

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukumbusho kidogo

Kaka Hassan Khamis uliwahi kuisikia hii, mimi ndio kwanza nimeisikia leo kwamba Zanzibar ipo hii !!! Khatib amesema: Alikua na mjomba wake ambae alikua Mganga, lakini akiwafanyia ubaya Masheikh ili yeye awe juu siku zote, hakukoma […]

The post Ukumbusho kidogo appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Runapa yapata wageni kidogo

Licha ya Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) na wadau wengine kutumia fedha nyingi kuimarisha miundombinu na kuboresha huduma kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (Runapa), bado inapokea wageni wachache.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jb Aamua Kujipoteza Kidogo Kwenye 'Game'

Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ameamua kujipoteza kwa makusudi katika uigizaji akiwa na lengo la kuweka mbele kazi zinazofanywa na kampuni yake ya uzalishaji sinema ya Jerusalemu.

Akizungumzia kazi za mwaka uliopita, JB alisema mwaka 2014 filamu zake tatu za Bado Natafuta, Wageni Wangu na Chausiku zilifanya vizuri sokoni.

“Kwa asilimia 80 mwaka 2014 kwangu umekuwa mzuri kikazi, nimefanya kazi nzuri bila mimi kuonekana kwa sababu nataka Jerusalemu ianze...

 

11 years ago

GPL

KAJALA,WEMA HEBU NISIKILIZENI KIDOGO!

Mastaa wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja.
KWENU,Mastaa wa filamu Bongo, Kajala Masanja na Wema Sepetu. Poleni kwa tifu linaloendelea kati yenu. Hongereni kwa kazi za kila siku za kujipatia kipato. Tuweke mambo yote pembeni, mimi kama kaka yenu, hebu tuzungumze kirafiki kidogo leo. Nimefuatilia kwa karibu ugomvi unaoendelea kati yenu, moyoni imeniuma na nimeona naweza kuwashauri mawili matatu, nanyi mkiona...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray na Davina Kidogo Wazichape Ukumbini!

Mastaa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Halima Yahaya ‘Davina’ nusura wazichape kavukavu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar baada ya Ray kudaiwa kumshika mwenzake huyo sehemu nyeti, Risasi Mchanganyiko lina mchapo kamili.

Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi, ambacho kilikuwa shuhuda wa tukio hilo, Davina alikuwa amekaa na wasanii wengine pamoja na Mlezi wa Bongo Movies, mama Loraa wakipata vinywaji ndipo Ray alipofika na kuharibu shughuli.


“Wakati Davina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito walalamika kuombwa ‘kitu kidogo’

BAADHI ya kina mama hasa wajawazito wa vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya Simambwe kwa kuwaomba ‘kitu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani