HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
Kwenye picha anayepandishwa kwenye kalandinga na mkimbiajia wa marathon Deogratiua Lazaro alipomvamia mkimbiaji mbio mwenzake Fabian Joseph na kmjeruhi kwa kumuuma mkono kwa tuhuma za uchawi kwenye mashindano ya mbio za Uhuru marathoni zilizokua sehemu ya sherehe ya miaka 53 ya Uhuru .
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Unaujua mpira wa ‘Chandimu’..??? usome hapa kidogo!
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Tanzania ni miongoni mwa Taifa ambalo limekuwa likikua kila kukicha kwa kila Nyanja ikiwemo Elimu, biashara na Uchumi wake kwa ujumla ambapo mbali na vitu hivyo pia suala la michezo ikiwemo mchezo wa mpira miguu ama soka, umekuwa na mageuzi yake pia.
Tukija katika suala hilo la mageuzi katika soka, ni pamoja na matumizi yake ya nyenzo zilizokuwa zikitumika, ikiwemo mpira katika dimba. Enzi hizo mpira uliokuwa ukitumika ni wa kufuma na makaratasi ambao ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-flnLROH1IVc/VJzAgAodv7I/AAAAAAADSiw/UrUvJ0csjnY/s72-c/220003_3677939663903_436480257_o.jpg)
JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-flnLROH1IVc/VJzAgAodv7I/AAAAAAADSiw/UrUvJ0csjnY/s1600/220003_3677939663903_436480257_o.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HGaxMsfN7CU/U1ksDO4VmpI/AAAAAAAFcrU/LoebaKBG0uM/s72-c/unnamed+(90).jpg)
BURUDANI KIDOGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGaxMsfN7CU/U1ksDO4VmpI/AAAAAAAFcrU/LoebaKBG0uM/s1600/unnamed+(90).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Ukumbusho kidogo
Kaka Hassan Khamis uliwahi kuisikia hii, mimi ndio kwanza nimeisikia leo kwamba Zanzibar ipo hii !!! Khatib amesema: Alikua na mjomba wake ambae alikua Mganga, lakini akiwafanyia ubaya Masheikh ili yeye awe juu siku zote, hakukoma […]
The post Ukumbusho kidogo appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Runapa yapata wageni kidogo
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Jb Aamua Kujipoteza Kidogo Kwenye 'Game'
Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ameamua kujipoteza kwa makusudi katika uigizaji akiwa na lengo la kuweka mbele kazi zinazofanywa na kampuni yake ya uzalishaji sinema ya Jerusalemu.
Akizungumzia kazi za mwaka uliopita, JB alisema mwaka 2014 filamu zake tatu za Bado Natafuta, Wageni Wangu na Chausiku zilifanya vizuri sokoni.
“Kwa asilimia 80 mwaka 2014 kwangu umekuwa mzuri kikazi, nimefanya kazi nzuri bila mimi kuonekana kwa sababu nataka Jerusalemu ianze...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOltdyGhYJD4P9xsjfuQodpElWY4GkWdkUdRpe0tFCT6W8fi12CFITv5F0GTiG4MoxnGHxPe6O899lhwhFEJw8jpV/BARUANZITO.jpg?width=650)
KAJALA,WEMA HEBU NISIKILIZENI KIDOGO!
10 years ago
Bongo Movies06 May
Ray na Davina Kidogo Wazichape Ukumbini!
Mastaa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Halima Yahaya ‘Davina’ nusura wazichape kavukavu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar baada ya Ray kudaiwa kumshika mwenzake huyo sehemu nyeti, Risasi Mchanganyiko lina mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi, ambacho kilikuwa shuhuda wa tukio hilo, Davina alikuwa amekaa na wasanii wengine pamoja na Mlezi wa Bongo Movies, mama Loraa wakipata vinywaji ndipo Ray alipofika na kuharibu shughuli.
“Wakati Davina...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wajawazito walalamika kuombwa ‘kitu kidogo’
BAADHI ya kina mama hasa wajawazito wa vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya Simambwe kwa kuwaomba ‘kitu...