Unaujua mpira wa ‘Chandimu’..??? usome hapa kidogo!
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Tanzania ni miongoni mwa Taifa ambalo limekuwa likikua kila kukicha kwa kila Nyanja ikiwemo Elimu, biashara na Uchumi wake kwa ujumla ambapo mbali na vitu hivyo pia suala la michezo ikiwemo mchezo wa mpira miguu ama soka, umekuwa na mageuzi yake pia.
Tukija katika suala hilo la mageuzi katika soka, ni pamoja na matumizi yake ya nyenzo zilizokuwa zikitumika, ikiwemo mpira katika dimba. Enzi hizo mpira uliokuwa ukitumika ni wa kufuma na makaratasi ambao ni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB
Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni
Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Usome wasifu wa Bernard Kamilius Membe hapa
![ujumbe 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/ujumbe-4.png)
Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:
1962 – 1968: Elimu...
10 years ago
Bongo509 Apr
Je! unaujua muswada wa makosa ya mtandaoni 2015?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Uhu0-VjTtyU/VTUTkMRPTxI/AAAAAAAHSIs/Y_UhRG7017U/s72-c/82.jpg)
CHANDIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uhu0-VjTtyU/VTUTkMRPTxI/AAAAAAAHSIs/Y_UhRG7017U/s1600/82.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tZHvbe7R32s/VTUTkRCRCOI/AAAAAAAHSIw/6o1nNi1jH1E/s1600/83.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XJ_tFct-JNQ/VTUTmn7wOqI/AAAAAAAHSJE/1pOVnXo3spI/s1600/84.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-mQ7lq3K7Y/VTUTnpm33YI/AAAAAAAHSJM/ZvzA-teHFfs/s1600/85.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Gbll-9l4T3I/U6Cb_NgWlpI/AAAAAAAFrVs/rQPFyw4GGg0/s72-c/kaba.jpg)
kombe la chandimu tandika
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gbll-9l4T3I/U6Cb_NgWlpI/AAAAAAAFrVs/rQPFyw4GGg0/s1600/kaba.jpg)
11 years ago
TheCitizen16 Feb
Presidency: ‘Chandimu’ dose may come in handy
9 years ago
Bongo513 Oct
Usome ujumbe wa pongezi wa mrembo wa Ommy Dimpoz baada ya kushinda tuzo ya Afrimma
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Ukumbusho kidogo
Kaka Hassan Khamis uliwahi kuisikia hii, mimi ndio kwanza nimeisikia leo kwamba Zanzibar ipo hii !!! Khatib amesema: Alikua na mjomba wake ambae alikua Mganga, lakini akiwafanyia ubaya Masheikh ili yeye awe juu siku zote, hakukoma […]
The post Ukumbusho kidogo appeared first on Mzalendo.net.