Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB
Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni
Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa
Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???
-Kitale
Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Unaujua mpira wa ‘Chandimu’..??? usome hapa kidogo!
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Tanzania ni miongoni mwa Taifa ambalo limekuwa likikua kila kukicha kwa kila Nyanja ikiwemo Elimu, biashara na Uchumi wake kwa ujumla ambapo mbali na vitu hivyo pia suala la michezo ikiwemo mchezo wa mpira miguu ama soka, umekuwa na mageuzi yake pia.
Tukija katika suala hilo la mageuzi katika soka, ni pamoja na matumizi yake ya nyenzo zilizokuwa zikitumika, ikiwemo mpira katika dimba. Enzi hizo mpira uliokuwa ukitumika ni wa kufuma na makaratasi ambao ni...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Usome wasifu wa Bernard Kamilius Membe hapa
![ujumbe 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/ujumbe-4.png)
Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:
1962 – 1968: Elimu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-flnLROH1IVc/VJzAgAodv7I/AAAAAAADSiw/UrUvJ0csjnY/s72-c/220003_3677939663903_436480257_o.jpg)
JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-flnLROH1IVc/VJzAgAodv7I/AAAAAAADSiw/UrUvJ0csjnY/s1600/220003_3677939663903_436480257_o.jpg)
10 years ago
Bongo Movies30 Mar
Wewe ni Shabiki wa Riyama? Hebu Pitia Hapa
Huyu ni moja kati ya waigizaji wa kike wanaokubalika zaidi kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zao, ni moja kati ya mastaa kutoka Bongo Movies ambao hawana skedo za AJABU AJABU,kiufupi ni moja kati ya wanaojielewa na kujiheshimu , hii inamfanya kuheshimika mbele ya jamii,huyu sio mwingine bali ni Riyama Ally.
Kwakua unamkubali na unapenda kazi zake mpigie kura kama mwigizaji anayependwa na filamu yake inayopendwa...Tuma neno TUZO kwenda 15678 utapokea ujumbe unaoainisha vipengele vyote vya tuzo...
10 years ago
Vijimambo12 Feb
SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-WPJ0bg7t96c%2FVNvrtRDp90I%2FAAAAAAADX9A%2FxlqJMB0yLW0%2Fs1600%2F10360708_10153092524539931_1510697460399436003_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-49rQ8ntwIZU%2FVNvrsm6zSJI%2FAAAAAAADX88%2FnwUv9wJmZ-I%2Fs1600%2F10958320_1043578015671542_1098316409749736956_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
CloudsFM17 Aug
Kama wewe upo Kahama hii inakuhusu...
HIVI NI BAADHI YA VITUO VINAVYOUZA TIKETI ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA KUANZIA MUDA HUU:
Uwanjani kutakuwa na gari moja, Bijampora kutakuwa na gari moja, Fantoni kutakuwa na gari moja, Stendi kuu kutakuwa na gari moja, Galaxy/Social/Chila kutakuwa na gari moja.
TAADHARI:
Kinywaji cha aina yeyote ile kutoka nje ya eneo la uwanja wa kahama hakitaruhusiwa kuingia.. Huduma ya chakula na vinywaji kutoka Serengeti Breweries Limited vitapatikana kwa wingi.
Pia yeyote mwenye umri chini ya miaka 18...
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Wewe ni Shabiki wa Wema Sepetu? Hebu Pitia Hapa
Staa mrembo kutoka Bongo Movies. Wema Sepetu ambaye anatajwa kama ni moja ya watu wenye ushawishi mkubwa mtandaoni kwa hapa Bongo, ni moja kati ya watu wanaowania tuzo kwenye TUZO ZA WATU 2015 katika kipengele cha Muigizaji wa kike anaependwa na watu.
Hii ni nafasi kwa wewe unaemkubali na kumfagilia Wema kuonyesha kuwa mpo wengi kwa kumpigia kura za kutosha kumuwezesha kuibuka mshindi wa tuzo hiyo.
Jinsi ya kumpigia kumpigia kula, Tuma neno TUZO kwenda15678 utapokea uujumbe unaoainisha...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa
OPRAH WINFREY.
Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.
Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”
Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...