Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa
Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???
-Kitale
Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies30 Mar
Wewe ni Shabiki wa Riyama? Hebu Pitia Hapa
Huyu ni moja kati ya waigizaji wa kike wanaokubalika zaidi kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zao, ni moja kati ya mastaa kutoka Bongo Movies ambao hawana skedo za AJABU AJABU,kiufupi ni moja kati ya wanaojielewa na kujiheshimu , hii inamfanya kuheshimika mbele ya jamii,huyu sio mwingine bali ni Riyama Ally.
Kwakua unamkubali na unapenda kazi zake mpigie kura kama mwigizaji anayependwa na filamu yake inayopendwa...Tuma neno TUZO kwenda 15678 utapokea ujumbe unaoainisha vipengele vyote vya tuzo...
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Wewe ni Shabiki wa Wema Sepetu? Hebu Pitia Hapa
Staa mrembo kutoka Bongo Movies. Wema Sepetu ambaye anatajwa kama ni moja ya watu wenye ushawishi mkubwa mtandaoni kwa hapa Bongo, ni moja kati ya watu wanaowania tuzo kwenye TUZO ZA WATU 2015 katika kipengele cha Muigizaji wa kike anaependwa na watu.
Hii ni nafasi kwa wewe unaemkubali na kumfagilia Wema kuonyesha kuwa mpo wengi kwa kumpigia kura za kutosha kumuwezesha kuibuka mshindi wa tuzo hiyo.
Jinsi ya kumpigia kumpigia kula, Tuma neno TUZO kwenda15678 utapokea uujumbe unaoainisha...
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako
"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri
Monalisa on Instagram
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB
Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni
Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi6565AXjEtuKJmtXroVicDOsOCZe5MLOyCPiSwVUn0FXAs9bp8JNP8wd3Eiwcnfg5fBFDx1*W7HFRpv23YMGX4qS/unhappycouple.jpg?width=650)
HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Msekwa: Sitta ana lake jambo
11 years ago
Bongo510 Jul
Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-flnLROH1IVc/VJzAgAodv7I/AAAAAAADSiw/UrUvJ0csjnY/s72-c/220003_3677939663903_436480257_o.jpg)
JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-flnLROH1IVc/VJzAgAodv7I/AAAAAAADSiw/UrUvJ0csjnY/s1600/220003_3677939663903_436480257_o.jpg)