Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wewe ni Shabiki wa Riyama? Hebu Pitia Hapa

Huyu ni moja kati ya waigizaji wa kike wanaokubalika zaidi kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zao, ni moja kati ya mastaa kutoka Bongo Movies ambao hawana skedo za AJABU AJABU,kiufupi  ni moja kati ya wanaojielewa na kujiheshimu , hii inamfanya kuheshimika mbele ya jamii,huyu sio mwingine bali ni Riyama Ally.

Kwakua unamkubali na unapenda kazi zake mpigie kura kama mwigizaji anayependwa na filamu yake inayopendwa...Tuma neno TUZO kwenda 15678 utapokea ujumbe unaoainisha vipengele vyote vya tuzo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wewe ni Shabiki wa Wema Sepetu? Hebu Pitia Hapa

Staa mrembo kutoka Bongo Movies. Wema Sepetu ambaye anatajwa kama ni moja ya watu wenye ushawishi mkubwa mtandaoni kwa hapa Bongo, ni moja kati ya watu wanaowania tuzo kwenye TUZO ZA WATU 2015  katika kipengele cha Muigizaji wa kike anaependwa na watu.

Hii ni nafasi kwa wewe unaemkubali na kumfagilia Wema kuonyesha kuwa mpo wengi kwa kumpigia kura za kutosha kumuwezesha kuibuka mshindi wa tuzo hiyo.

Jinsi ya kumpigia kumpigia kula, Tuma neno TUZO kwenda15678 utapokea uujumbe unaoainisha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa

Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???

-Kitale

Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

CHEZEA USINGIZI WEWE PITIA HIZI PICHA MBILI NA JIPE JIBU MWENYEWE

Usijiulize alifikaje hapa juu jibu ni usingizi ndiyo mpango mzima ukifika tu basi aijalishi upo wapi.Huyu nae akikua sijuhi atakuwa fundi viatu au?, usingizi kweli siyo mchezo

 

10 years ago

Vijimambo

ATHARI ZA UREMBO BANDIA HIZI HAPA HEBU JITIRIRIKIE MWENYEWE



Huwezi kuepuka matangazo ya mauzo kila utembeapo katika Mji wa Seoul,utapata wito wa kukutaka ubadilishe umbo kwa njia ya upasuaji wa kuongeza urembo bandia.

Katika mtaa wa ukwasi wa Gangnam,kila ukuta una ishara ya kukuelekeza sehemu ya upasuaji wa aina hii

Kwenye treni na mitaani,unaelezewa kuwa ''unaweza kurudisha uchanga usoni mwako.''kuweka ama kuondoa mikunjo usoni'' inapendekezwa kufanyiwa-''upasuaji wa matiti'',''kuzuia kuzeeka'' ''kubadili kope za macho''''kupunguza nyama na ngozi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nini tena kimemsibu Jacqueline Wolper? Hebu soma alivyofunguka hapa

Kupitia kwenye page yake moja ya mtandao maarufu wa kijamii nchini, mwanadada wolper amefunguka haya yafuatayo…

 

"Maandishi ya uwongoo yananiharibia sana huusianao wangu plz stok na msani yoyote Tanzania wala nyege zangu azimalizwi na msani yoyote Tanzania ninamwanaume wangu namuheshm ananiheshim nasipo kuweka mahusiano yangu adharanii wala mitandaoni Maana nimtu na heshima zake.. nimeumwa na nyoka mara ya kwAnza so ata jani likinigusa ninashtuka kikubwa sina mapenz ya matangazo wala...

 

11 years ago

Bongo5

Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)

Rapper mkongwe Professor Jay anatarajia kushoot video ya single yake ya sasa ‘Kipi Sijasikia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz weekend hii. Kupitia Instagram Jay ametoa mwaliko kwa shabiki wake yeyote atakayependa kuonekana kwenye video hiyo itakayoanza kurekodiwa Jumamosi hii (July 12). “KINGS and QUEENS wote Mnakaribishwa kwenye Video shooting ya KIPI SIJASIKIA, MUHIMU; Vigezo na Masharti Kuzingatiwa!!!” […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Awataja Mawakala wa Mauti,Wewe Je ni ‘Wakala wa Mauti’?

Staa wa Bongo Movies aliejijengea heshma kwa mashabiki kwa kazi zake, Riyama Ally anakuja na filamu mpya, kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi‘Albinos’inayokwenda kwa jina la Wakala wa Mauti.

“Hii ni kazi ya mikono yangu namuomba mungu anijalie iwe miongoni mwa kazi bora inshallah amin.....”Riyama alidokeza.

Akionyesha baadhi ya picha za filamu hiyo  mtandaoni Riyama alisema “Hivi ni baadhi ya kipindekipinde cha filamu yangu mpya " Wakala wa Mauti " anae wadhulumu ndugu zetu ma...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE

Habari ndiyo hii ((The Fruit of Education are Sweet )) kazi kwako ujumbe umefika huo tena live bila chenga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani