Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JITIRIRISHE NA HII HAPA NA WEWE

Habari ndiyo hii ((The Fruit of Education are Sweet )) kazi kwako ujumbe umefika huo tena live bila chenga.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA MAPENZI PESA DIAMOND NA NAY WA MITEGO JITIRIRISHE NA WEWE KIROHO SAFI

Ni kweli mapenzi pesa au ufundi? kama ufundi basi nenda veta


 

10 years ago

Vijimambo

KITENDO HIKI CHA ZUA MJADALA HUKO TANZANIA JITIRIRISHE HAPA CHINI NA WEWE UNALA KUSEMA

Kwa wanamichezo ni kama kumpa moyo mchezaji mwenzie au kama pongezi.Hapa ni rais Bush akimpongeza mchezaji wa timu ya taifa ya volleyball ya Marekani.Hapa ni kocha wa timu ya taifa ya CameroonBeki wa Mbeya City Juma Nyosso.Na Waandishi WetuSIKU moja baada ya Gazeti la Championi kutoa picha ya beki wa Mbeya City, Juma Nyosso akionekana kumfanyia ndivyo sivyo straika wa Simba, Elias Maguri, makubwa yameibuka.

Uongozi wa Simba na Maguri wote kwa pamoja wametoa kauli juu ya tukio hilo na...

 

10 years ago

Vijimambo

FID Q KAPEWA TUNZO HII HAPA JITIRIRISHE


Good news ninayokusogezea ni hii inamuhusu rapper Fareed Kubanda ambaye leo hii amekabidhiwa tuzo ya Champion of the 2015 European year for development in Tanzaniakutoka umoja wa nchi za Ulaya.Akiongea kwenye Amplifaya:..’Tarehe hii ya leo ambayo ni 17 machi ikiwa siku ya Jumanne nina furaha sana kwasababu ni siku ambayo nimepewa tuzo ya CHAMPION of the 2015 European year for developement, lakini nimepewa kwasababu nilikuwa natenga muda wangu kukaa na kuzungumza na jamii, kwa mfano...

 

10 years ago

Vijimambo

HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO

Kwenye picha anayepandishwa kwenye kalandinga na mkimbiajia wa marathon Deogratiua Lazaro alipomvamia mkimbiaji mbio mwenzake Fabian Joseph na kmjeruhi kwa kumuuma mkono kwa tuhuma za uchawi kwenye mashindano ya mbio za Uhuru marathoni zilizokua sehemu ya sherehe ya miaka 53 ya Uhuru .
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.

Tukio hilo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani