Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako

"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri 

Monalisa on Instagram

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Jamtz.Com

KAMA WEWE NI MBUNIFU TFF WANA DEAL KWA AJILI YAKO


Inawezekana ukawa una ubunifu wako lakini ukawa unashindwa wapi utaupeleka na kupata pesa halali ya Kitanzania sasa mchongo huu hapa ambao wameutoa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwakaribisha wabunifu.
Unachotakiwa kufanya ni kubuni mwonekano wa jezi mpya za timu ya Taifa zitakazokuwa zikitumiwa kwa mechi za nyumbani na ugenini na ubunifu ni lazima uzingatie rangi za bendera ya Taifa.
Mkwanja walioutoa kwa Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wewe ni Kijana Chini ya Miaka 40? Ujumbe Huu wa Ray Ukufikie

Watu wengi hawajui kwa nini wazungu huwa wanasema LIFE BEGINS AT 40. Yaani maisha yako ya kweli yataanza ukifika umri wa Miaka 40. Wakati ambapo unatakiwa uwe na elimu uliyoihitaji.. Uwe na familia yako tayari.. Uwe na kwako tayari siyo umepanga bado.. Uwe na usafiri binafsi.. Uwe na kitu chako cha kukuingizia pesa na si kutegemea ajira peke yake. At 40!

At 40 unatakiwa uwe umeshapata exposure kwa kusafiri huku na kule dunia hii kujua wengine walioendelea zaidi wanaishi vipi na wewe...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa

Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???

-Kitale

Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram

 

10 years ago

Michuzi

JIHADHARI NA UJUMBE KAMA HUU, UKIUFUATA AKAUNTI YAKO INASOMBWA...



Dear Valued USER,

We received your instruction to terminate your Google accountYou need to confirm you made this request or we will continue with the requestIf you think it is an error, take action immediately to stop this process.CANCEL REQUEST 

Thank You,
Google Account Team.

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchango wa kijana ni mkubwa kwa taifa hili!

NINA kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kunivusha na kuuona mwaka mwingine. Nachukua fursa hii kuwashukuru wote walionitumia ujumbe baada ya kusoma makala ya wiki iliyopita. Tumejipanga vipi kuhakikisha mwaka...

 

10 years ago

Vijimambo

MSAADA KWA HILI: SHILINGI MILIONI 50 ZINAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA KIJANA HUYU

Kijana ABEL MACHANG'A, mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa Jijini Dar es Salaam, ambae anasumbuliwa na maradhi ya macho, akiwa amejipumzisha nyumbani kwao baada ya kuzungumza na waandishi wa habari ili kuomba msaada wa kupelekwa nje ya nchi kwa ajili ya kupatiwa matibabu.  

Na Mwandishi Wetu
Kijana Abel mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa jijini Dar es Salaam anakabiliwa na maradhi ya macho na mishipa ya fahamu hali iliyosababisha apoteze uwezo wa kuona, na hivyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ujumbe wa Leo: Chukua Hili Kutoka kwa Wastara

Natamani Nijitanue Mdomo Nicheke Kidgo Hhhh Hii Picha Sijui Nimenuna au Nawaza.

Lakini Muhimu Pokea Hilo Ninalokupa Nakuhusia Sana, Usihuzunishwe na Hali ya Maisha Yako..Tazama na Jifunze kwa Viumbe Wengine,Tambua Siku Zote Ng'ombe wa Mbele Ndiye Anayechelewesha Msafara, lakini wa Nyuma Ndiye Anayechapwa Bakora, Jiamini, Usikate Tamaa, Mpite wa Mbele Ujinusuru na Bakora.MUNGU Hamtupi mja Wake, Pengine kesho ni Zamu yako. JITUME Mungu yu Pamoja Nawe.

Siku Njema!.

Wastara on Instagram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani