NA WEWE ORDER YAKO VITUMBUA, CHAPATI NA SAMOSA KWA BEI NAFUU.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovBEWeWukIaOyMzU-S-3R8bkNXhuZ5N0zvNgKwjH-ctkhEmdGw*y-QfRCOY8gSWO5M4htjw1Ztv88UkYF9lZqtIl/vyoo.gif?width=550)
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Magari haya yanauzwa kwa bei nafuu
TOYOTA AVENSIS 1.9 CC
DIESEL ENGINE
MODEL 2005 MANUAL
THE CAR IS IN DAR ES SALAAM JUST IMPORTED FROM U.K LONDON
PRICE T.SH. 7.5 MILLION
CONTACTS: +255 718 030 320
+255 774 659 895
LAND ROVER DISCOVERY TD5
MODEL 2004 PICK UP AUTOMATIC
GEAR BOX DIESEL
PRICE 17 MILLION
THE CAR IS IN ZANZIBAR BUT WE CAN ARRANGE SHIPPING IT TO ANYWHERE
CONTACTS: +255 718 030 320
+255 774 659...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Huduma za afya zitolewe kwa bei nafuu -Dk Rashid
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-070VQp8Ugoo/VFoCjME7lUI/AAAAAAAABPM/8Dr7QHNPOcU/s72-c/index.jpg)
KAMA WEWE NI MBUNIFU TFF WANA DEAL KWA AJILI YAKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-070VQp8Ugoo/VFoCjME7lUI/AAAAAAAABPM/8Dr7QHNPOcU/s1600/index.jpg)
Inawezekana ukawa una ubunifu wako lakini ukawa unashindwa wapi utaupeleka na kupata pesa halali ya Kitanzania sasa mchongo huu hapa ambao wameutoa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwakaribisha wabunifu.
Unachotakiwa kufanya ni kubuni mwonekano wa jezi mpya za timu ya Taifa zitakazokuwa zikitumiwa kwa mechi za nyumbani na ugenini na ubunifu ni lazima uzingatie rangi za bendera ya Taifa.
Mkwanja walioutoa kwa Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Jipatie Tyre Changer, Wheel Balancer na Compressor kwa bei nafuu
Tyre Changer, Wheel Balancer na Compressor vinauzwa, ni used kutoka UK lakini vipo katika hali nzuri. Vyote vipo Dar es Salaam.
Mawasiliano: Mr. Saleh 0774 65 98 95 au
Mr. Mbaraka 0779 100064
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako
"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri
Monalisa on Instagram
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jJrP9XILtDE/XvWlxJY9JVI/AAAAAAAAAH8/nrRU5ggDCloYApAZ9fDBcxd-vsRbmkELgCLcBGAsYHQ/s72-c/afisa2.jpg)
WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii imewafikia wanakijiji wa vijiji vya Kigoma ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Pata Domain yako ya .tz kwa Bei Poa
Shirika la tzNIC ni shirika la kitanzania, linalo endeshwa na watanzania ila lisilo la kiserikali. tzNIC inakuwezesha kusajili domain ya tovuti yako ya .tz. Na hivyo basi tzNIC kwakuwa asasi isiyo ya kutafuta faida bei zao ni ndogo sana hivyo kukuwezesha Mtanzania wa kawaida kabisa kuwa na domain ya .tz. Hivyo pale unapo taka kusajili domain ambayo inaishia na .tz hawa ndio wahusika wakuu ambao wametoa vibali kwa wasajili zaidi ya 43 ambao wako Tanzania nzima. Lengo kuu la tzNIC ni kukuza...