HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!
![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi6565AXjEtuKJmtXroVicDOsOCZe5MLOyCPiSwVUn0FXAs9bp8JNP8wd3Eiwcnfg5fBFDx1*W7HFRpv23YMGX4qS/unhappycouple.jpg?width=650)
JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N9SSDe8WivBRCSNc-FeSieHbW7u5C7pHJmiDj6fqb9e3lEh98KoDpG51tjR4Tg4E-EflWhrxfbVAIpdt6JaajRW/Blackwomanthinking1.jpg?width=650)
SIYO LAZIMA UANZE KUFANIKIWA WEWE, TIA MOYO WENGINE!
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa
Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???
-Kitale
Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEINPKxFObpaV6dig507sTFPzpIceOkb7-B2fKlftM4VRKaKviBanfiOtR98fk-Me0pkZMM5zpMl2aJ0dcH3Vsx7/BuenosAiresApartmentRentals111.jpg)
SHITUKA WEWE! UTAISHI KWENYE NYUMBA YA KUPANGA MPAKA LINI?
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako
"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri
Monalisa on Instagram
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5eIeogaRC4/UwUAtE-2exI/AAAAAAAFOGw/QloBugfai44/s72-c/IMG_1366.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8WKh9A9-7Mih3X-kOBAevxksVUml2GVsp6mMYI6**G9ymgtXhCkmlJxqAp3B01Fo098R4ZTk8jQfM5qEzcfdlgu/love.jpg)
HAJIBU MESEJI, HAPOKEI SIMU, MAPENZI YAMEPUNGUA, ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO? JIONGEZE!
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Sema wewe
Na Waandishi Wetu, Mwanza
SEMA wewe. Ndivyo unavyoweza kutamka baada ya maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza kujitokeza kumpokea mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa jana.
Vilevile, Jeshi la polisi mkoani hapa lililazimika kupiga mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chadema na vyama vingine vinayounda UKAWA ambao walikuwa wamefurika uwanja wa ndege wa Mwanza.
Mabomu hayo yalianza kupigwa ya saa 6:20 mchana. Mabomu hayo yalipigwa baada ya wafuasi hao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39f1gBndEYFvVqueu1GLiHKkh*40Exyrq2HS5cXrU46y2Ebif3DJYSXQ74ADQQiXh7Zb1-e0Z2JFFuW0vbVDK3ah/njemba.jpg?width=650)
CHEZEA USINGIZI WEWE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YiN0LE001qY1Q2p2qrSr6GzpnBmODJQzMpbNwhGF*FNmzzVx4X2U2G0oQBX1ZWdc34kYJ0Kdn5NJWafTrfPm79n/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
JE, WEWE NI MLEVI AU MNYWAJI?