HAJIBU MESEJI, HAPOKEI SIMU, MAPENZI YAMEPUNGUA, ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO? JIONGEZE!
![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8WKh9A9-7Mih3X-kOBAevxksVUml2GVsp6mMYI6**G9ymgtXhCkmlJxqAp3B01Fo098R4ZTk8jQfM5qEzcfdlgu/love.jpg)
NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha nanyi marafiki Jumamosi ya leo. Mungu ni mwema sana ndiyo maana anazidi kutubariki kila kukicha. Tunakutana tena katika darasa letu huru, tunafundishana masuala yahusuyo uhusiano wa mapenzi. Leo nimependa tujadili mada hii ambayo naamini inagusa watu wengi. Wengi wetu tunakubaliana kwamba tumekutana na jambo hili kwa nyakati tofauti.Unampigia simu mpenzi wako hapokei, meseji hajibu na wala hana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Hapokei, wala hajibu meseji zangu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacO9uAXVwy2vOUzlweO7pZBniZmZS*v76AM1NPlHMWOMzd8HrtsBG3o8np8jOCRs*Mr0HayBs6tCsHPhbEbI5sV/phonecall.jpg?width=650)
UNAPIGIWA SIMU HUPOKEI, UNASONYA...UNATUMA MESEJI... MPENZI WAKO AKUELEWE VIPI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9xctIYvZS*E76imeYRRmUKPDAUhucylSLuqR5maF5qb7MuiwRt1wLPE9uXOZz4LvjrcBJYaJQu4Tm2RU8-vt793/Womanwithmobilephone1537768.jpg?width=650)
DALILI 5 KWAMBA MPENZI WAKO ANA WA KUMCHUNA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG9PAJjc7fDVlV40CAdl7JDDJqil*4qEDvUHciEsKLkQPKPGOe-XvxPJRgPOijEj4wbU6atCg4kT61GujEwj2zlV/7.jpg?width=650)
KAMA MPENZI WAKO ANA WIVU, HII INAKUHUSU SANA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbjoohTPjiKnLMvBPO0bfmBFgiGawPpHHgTZ6RJi4Aw96nqDOPHLbuf9f03-*iKUZhKFsRqnQ0-1G7FE3uD7NaiF/mahaba.gif)
UTAMJUAJE MCHUMBA WAKO KAMA ANA MAPENZI YA DHATI?
9 years ago
Bongo505 Jan
Una mpango wa kuchora tattoo ya mpenzi wako? Shilole ana ushauri kuhusu hilo
![shishi nw](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/shishi-nw-300x194.jpg)
Shilole a.k.a Shishi baby ametoa ushauri kwa watu kutochora tattoo za wapenzi wao, ili isije kuwapa shida pale watakapoachana kama ilivyomtokea yeye na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
Shishi ametoa ushauri huo baada ya kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda.
“Sina tattoo tena nimeamua tu kuifuta,tutapendana tu kama ni mapenzi tutapeana ya rohoni,mambo ya kuchorana tattoo nimeshaacha,nishaona hakuna sababu ya kuchora unaweza kuchora tattoo ukazuia mambo yako mengi yanayopita.”...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMiQgKPyCedwa*44ERGLabV8-YsikUnNIaMIm0L*1MG0liCYf0vRL8MreV08MK2lse3caBtEA0glAy442AgCGsh/mahaba.gif?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO