Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa
OPRAH WINFREY.
Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.
Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”
Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi9spDzYLRhMIHshdO6kJ-leBCrEq*cOhDOf6D3ryf1A4yeSysb816Jn21xpr25Lxkk9A0gnlgfg0cjagsHw3u-3/BillGates.jpg?width=650)
MATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Watanzania milioni 7 maskini wa kutupwa
ASILIMIA 9.7 ya Watanzania, sawa na watu milioni 7.2 wanakabiliwa na umaskini uliokithiri nchini. Kutokana na hali hiyo, serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeendelea na miradi ya...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Matajiri duniani wazidi kunona, maskini wateseka, kusononeka
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
10 years ago
Vijimambo12 Feb
SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-WPJ0bg7t96c%2FVNvrtRDp90I%2FAAAAAAADX9A%2FxlqJMB0yLW0%2Fs1600%2F10360708_10153092524539931_1510697460399436003_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-49rQ8ntwIZU%2FVNvrsm6zSJI%2FAAAAAAADX88%2FnwUv9wJmZ-I%2Fs1600%2F10958320_1043578015671542_1098316409749736956_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
CloudsFM17 Aug
Kama wewe upo Kahama hii inakuhusu...
HIVI NI BAADHI YA VITUO VINAVYOUZA TIKETI ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA KUANZIA MUDA HUU:
Uwanjani kutakuwa na gari moja, Bijampora kutakuwa na gari moja, Fantoni kutakuwa na gari moja, Stendi kuu kutakuwa na gari moja, Galaxy/Social/Chila kutakuwa na gari moja.
TAADHARI:
Kinywaji cha aina yeyote ile kutoka nje ya eneo la uwanja wa kahama hakitaruhusiwa kuingia.. Huduma ya chakula na vinywaji kutoka Serengeti Breweries Limited vitapatikana kwa wingi.
Pia yeyote mwenye umri chini ya miaka 18...
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB
Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni
Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa
Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???
-Kitale
Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram