MATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?
![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi9spDzYLRhMIHshdO6kJ-leBCrEq*cOhDOf6D3ryf1A4yeSysb816Jn21xpr25Lxkk9A0gnlgfg0cjagsHw3u-3/BillGates.jpg?width=650)
Bill Gate. Ndugu zangu, hakuna anayeweza kuupinga ukweli kwamba, maisha ya sasa ni magumu, ugumu ambao kama mtu atabweteka na kushindwa kutimiza wajibu wake ipasavyo upo uwezekano mkubwa wa kujikuta anaingia katika mfumo wa maisha yasiyokuwa na mbele wala nyuma na ugumu huo wa maisha kuwa mara mbili yake. Lakini licha ya ukweli huo, bado nafasi zipo wazi kwa watu kuingia katika ulimwengu wa mafanikio. Hii itatokea tu kama mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa
OPRAH WINFREY.
Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.
Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”
Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...
9 years ago
Vijimambo30 Oct
URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!
![](http://api.ning.com/files/ITtoOH4FElhazyqb4IsV9UwVeutxwig*Ilh3oVZ1JRZDp0M*LpRl*sHQu*ALlrDca6DM1PksNy1tq7*Yq9HgPv58yrTTUgfi/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
Pia wapo ambao wanaamini kwamba eti kwa namna wanavyoonesha mapenzi yao, hata kwa dawa hawawezi kusalitiwa. Utamsikia mwanamke akisema; ‘bwana wangu mimi kwangu hapindui, ananipenda sana na hawezi kunisaliti’.
Mtu anayesema maneno hayo anajipa imani na ukifuatilia unaweza kukuta huyo anayesema hivyo,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ITtoOH4FElhazyqb4IsV9UwVeutxwig*Ilh3oVZ1JRZDp0M*LpRl*sHQu*ALlrDca6DM1PksNy1tq7*Yq9HgPv58yrTTUgfi/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Matajiri duniani wazidi kunona, maskini wateseka, kusononeka
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
11 years ago
Bongo510 Jul
Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi6565AXjEtuKJmtXroVicDOsOCZe5MLOyCPiSwVUn0FXAs9bp8JNP8wd3Eiwcnfg5fBFDx1*W7HFRpv23YMGX4qS/unhappycouple.jpg?width=650)
HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?