Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?

Bill Gate. Ndugu zangu, hakuna anayeweza kuupinga ukweli kwamba, maisha ya sasa ni magumu, ugumu ambao kama mtu atabweteka na kushindwa kutimiza wajibu wake ipasavyo upo uwezekano mkubwa wa kujikuta anaingia katika mfumo wa maisha yasiyokuwa na mbele wala nyuma na ugumu huo wa maisha kuwa mara mbili yake. Lakini licha ya ukweli huo, bado nafasi zipo wazi kwa watu kuingia katika ulimwengu wa mafanikio. Hii itatokea tu kama mtu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa

Oprah-Winfrey3OPRAH WINFREY.

Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.

Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”

Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...

 

9 years ago

Vijimambo

URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!

Hakika mapenzi ni imani, yaani kuamini kwamba uliyenaye anakupenda hata kama ukweli unaweza usiwe hivyo. Wengi walio na wapenzi wanajiaminisha kwamba wanavyowapenda wenza wao ndivyo wanavyopendwa.

Pia wapo ambao wanaamini kwamba eti kwa namna wanavyoonesha mapenzi yao, hata kwa dawa hawawezi kusalitiwa. Utamsikia mwanamke akisema; ‘bwana wangu mimi kwangu hapindui, ananipenda sana na hawezi kunisaliti’.

Mtu anayesema maneno hayo anajipa imani na ukifuatilia unaweza kukuta huyo anayesema hivyo,...

 

9 years ago

GPL

URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!

Hakika mapenzi ni imani, yaani kuamini kwamba uliyenaye anakupenda hata kama ukweli unaweza usiwe hivyo. Wengi walio na wapenzi wanajiaminisha kwamba wanavyowapenda wenza wao ndivyo wanavyopendwa. Pia wapo ambao wanaamini kwamba eti kwa namna wanavyoonesha mapenzi yao, hata kwa dawa hawawezi kusalitiwa. Utamsikia mwanamke akisema; ‘bwana wangu mimi kwangu hapindui, ananipenda sana na hawezi kunisaliti’. Mtu anayesema maneno...

 

10 years ago

Mwananchi

Matajiri duniani wazidi kunona, maskini wateseka, kusononeka

Kila mwaka katika majira ya baridi ya Ulaya ambayo ni miezi ya Januari na Februari, Mji wa Davos ulioko katika milima ya Alps nchini Uswisi, huwa mwenyeji wa mkutano muhimu wa siku tano uliopewa jina la Jukwaa la Uchumi wa Dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri

Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.

 

11 years ago

Bongo5

Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)

Rapper mkongwe Professor Jay anatarajia kushoot video ya single yake ya sasa ‘Kipi Sijasikia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz weekend hii. Kupitia Instagram Jay ametoa mwaliko kwa shabiki wake yeyote atakayependa kuonekana kwenye video hiyo itakayoanza kurekodiwa Jumamosi hii (July 12). “KINGS and QUEENS wote Mnakaribishwa kwenye Video shooting ya KIPI SIJASIKIA, MUHIMU; Vigezo na Masharti Kuzingatiwa!!!” […]

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI

Ni wazi kwamba ningependa siku moja watanzania waweze kujua ukweli wa nini kinafanywa na matajiri wa nchi hii.Matajiri waliojaa  ulafi wa kunufaika na rasilimali za nchi hii kwa manufaa yao na familia zao ukijumlisha wapambe wao na washirika wa ndani na nje ya nchi hii ya Tanzania. Ni katika vita hii ndio inayopelekea serekali yetu kuyumba na kuyumbishwa (STATE TO BE CAPTURED) na hawa matajiri pale wanapopigania maslahi yao na kudiriki kutumia utajiri wao na umiliki wao wa vyombo kama vya...

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?

Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alitoa tamko kuhusu hatua ambazo Serikali itazichukua dhidi ya taasisi za kidini na nyingine zilizosajiliwa na wizara yake ambazo zinaendesha shughuli zake kinyume na malengo yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani