Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?
Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alitoa tamko kuhusu hatua ambazo Serikali itazichukua dhidi ya taasisi za kidini na nyingine zilizosajiliwa na wizara yake ambazo zinaendesha shughuli zake kinyume na malengo yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Dec
Polisi yasikitishwa na vurugu Masasi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara kimeibuka na ushindi kwa kujinyakulia viti 945 sawa na asilimia 88 ya kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji pamoja na vitongoji uliofanyika kote nchini jana.
10 years ago
Habarileo25 Nov
Polisi wataja chanzo vurugu za Mbagala
POLISI imeeleza undani wa vurugu za juzi na kusababisha vifo vya watu wa eneo la Mbagala Kongowe Mzinga jijini Dar es Salaam na kusema chanzo ni kundi la vijana wahalifu waliojiita ‘Black Americans’.
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Vurugu hizi ni ukosefu wa nidhamu polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtj2jlneh6BTmBo6MxJS0KxWvwnoossHXc5uAGFpkG1CZiItLH3gFsa91x7fgNSsjX*F*u9LSaizhoxi9eE*8bf/4037.jpg?width=650)
JK: POLISI MJIANDAE KUKABILIANA NA VURUGU ZA UCHAGUZI
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Polisi yamsaka Lema kwa vurugu
10 years ago
Mwananchi19 Jan
TFF, Polisi wadhibiti vurugu viwanjani
9 years ago
StarTV02 Oct
Jeshi la Polisi nchini lajipanga kukabili vurugu
Jeshi la polisi nchini limejipanga kuchukua hatua kwa kikundi ama chama chochote cha siasa kinachotarajia kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya ubunge, udiwani na urais Oktoba 25 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa kauli za baadhi ya watu kuanza kuwahamasisha vijana kutokukubaliana na matokeo kabla muda wa kupiga kura haujafika.
Akizungumza na wadau wa amani mjini Musoma mkoani Mara, mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa jeshi la polisi Ernest Mangu ametoa tahadhari hiyo kwa...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Polisi yatambia uwezo ilionao kukabili vurugu
KAMANDA wa Polisi mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, amesema wanavyo vitendea kazi vya kutosha na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vurugu itakayofanywa na mtu ama kikundi cha watu kwa lengo la kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi mkuu.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.