JK: POLISI MJIANDAE KUKABILIANA NA VURUGU ZA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtj2jlneh6BTmBo6MxJS0KxWvwnoossHXc5uAGFpkG1CZiItLH3gFsa91x7fgNSsjX*F*u9LSaizhoxi9eE*8bf/4037.jpg?width=650)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Gwaride la Jeshi la Polisi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi nchini Tanzania kujiandaa kikamilifu ili kukabiliana na vurugu zozote zitakazojitokeza wakati wa uandikishaji wapigakura, upigaji Kura ya Maoni ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu. Akifunga...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
11 years ago
BBCSwahili02 Feb
Vurugu uchaguzi wa Thailand ukianza
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Tume ya uchaguzi yalaani vurugu
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Uchaguzi Chadema vurugu tupu
![John Mnyika](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/John-Mnyika.jpg)
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
SHABANI MATUTU NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.
Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata kupanga mikakati ya kwenda...
10 years ago
Habarileo16 Dec
Polisi yasikitishwa na vurugu Masasi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara kimeibuka na ushindi kwa kujinyakulia viti 945 sawa na asilimia 88 ya kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji pamoja na vitongoji uliofanyika kote nchini jana.
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Vurugu za uchaguzi zaleta hasara Afghan.
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Vurugu hizi kwenye uchaguzi hapana
JUMAPILI iliyopita, kata 27 nchini zilifanya uchaguzi mdogo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na waliokuwa madiwani wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo na kujiuzulu. Vyama mbalimbali vilishiriki uchaguzi huo,...
10 years ago
GPLTWAWEZA WAONYA VURUGU UCHAGUZI MKUU!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s72-c/YKL.jpg)
POLISI WAUNGANISHA NGUVU KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s320/YKL.jpg)
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...