Uchaguzi Chadema vurugu tupu
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
SHABANI MATUTU NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.
Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata kupanga mikakati ya kwenda...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Kampeni Chalinze vurugu tupu
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Ziara ya Makalla vurugu tupu
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Bundi atua Chadema Singida, tafrani tupu
Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Singida katika picha.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida,na hali imechafuka kwa viongizi wake kuanza kuvuana uanachama na kufukuzana uongozi.
Baraza la uongozi mkoa wa Singida, limemvua na kumfukuza uongozi Mwenyekiti wa jimbo la Singida mjini,J ohn Kalaye Kumalija kwa tuhuma ya kuwa na mgogoro wa muda mrefu na katibu wake.
Uamuzi huo umeaanza kutekelezwa kuanzia...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Siri ya vurugu Chadema
“Mikataba, watu wanaingia mikataba, kwamba endapo atachaguliwa, udiwani au ubunge, atawapatia vit
Felix Mwakyembe
10 years ago
Habarileo20 Sep
'Chadema acheni vurugu'
MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutobweteka kwa kupata majimbo mengi badala yake wakue kifikra kwa kuachana na vurugu.
11 years ago
BBCSwahili02 Feb
Vurugu uchaguzi wa Thailand ukianza
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Tume ya uchaguzi yalaani vurugu
10 years ago
Habarileo20 Sep
Nane mbaroni kwa vurugu Chadema
SIKU moja baada ya Jeshi la Polisi kudhibiti maandamano yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wafuasi watatu wa chama hicho wamefikishwa mahakamani jijini Dar es Salaam na wengine watano wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro.